Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
We huelewi kumbe, tusije kuta hiyo financial services ni chuma ulete🤣.Naona umejua kuchagua PisiKali mwenye exposure na mambo ya Fedha pia
Hapo lazima tutegemee kumpata Waziri wa fedha kutoka kwenye uzao wenu maana Baba ni Intelligent businessman na Mama ni financial services
Na mambo yakiwa hivyo, sisi Wazee tunategemea lazima mtatuongezea pension yetu ya Kila Mwezi 😜
Una sawazishwa, mpaka una omba nafasi milembe hospital 😀😂