JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Aisee mkubwa ukiwa waziri au muidhinishaji wa fedha za kampuni, SI uta filisi kambi. Hahahaha
Hahahahaha..basi mie ni mtu mmoja wa kufuata kanuni na sheria tena usije kujaribu kupindisha kitu kwangu hutoamini....haya matumizi ni petty cash vichenji vya jana usiku ...situmii nje ya bajeti
 
Hahahahaha..basi mie ni mtu mmoja wa kufuata kanuni na sheria tena usije kujaribu kupindisha kitu kwangu hutoamini....haya matumizi ni petty cash vichenji vya jana usiku ...situmii nje ya bajeti
Hapo safi, mi naamini uki weza kuji tathimini wewe Kama wewe, basi ita kupa muongozo nzuri wa kutathimini vitu vingine.

Japo sio wote wanao weza Hilo, Kuna Jamaa ni mzuri wa kutathimini vingine, ila sio yeye . Hahaha.

Na Kuna mwingine mzuri wa kutathimini vyote, au kuji tathimini yeye tu.
 
Back
Top Bottom