thadayo jr
Senior Member
- Jan 28, 2023
- 183
- 176
Kuna kabint kananipenda sana,,ila tukipishana kidogo anataka tuachane.....Ukiachwaaaaa achikaaaaaa
Kitaalam ipo vip wakuu.
Kuna kabint kananipenda sana,,ila tukipishana kidogo anataka tuachane.....Ukiachwaaaaa achikaaaaaa
Both team to score😊Kuna kabint kananipenda sana,,ila tukipishana kidogo anataka tuachane.....
Kitaalam ipo vip wakuu.
Sikutaka nikushtue nikasema ngoja my dogo nimwache na utawala wakeNi wapi tena nmeandika huo uongo jamani😂😂Nakuzaa huku narukaruka
So bad bro, I hate death sema ndo promised dream ambayo kila mtu ata fanikiwa ifikia au pata.Maisha na siku zetu hapa duniani jiran yangu AMEFARIK saa mbili muda wa taarifa ya habari
Namkumbuka mzee huyu alikua mwingi wa MAARIFA na alipenda kuja kunijulia Khali maana nilipata ajari na kuvunjika mguu wangu wa kushoto still now nipo na recovery nimesha Anza mazoezi ya kukanyagia mguu..
Mzee kakutwa AMEFARIK ndani kwake usiku huu na mkewe still ndio wanashuhurikia kwenda ku uhifadhi mwili wake muda huu
Poleni sana mkuuMaisha na siku zetu hapa duniani jiran yangu AMEFARIK saa mbili muda wa taarifa ya habari
Namkumbuka mzee huyu alikua mwingi wa MAARIFA na alipenda kuja kunijulia Khali maana nilipata ajari na kuvunjika mguu wangu wa kushoto still now nipo na recovery nimesha Anza mazoezi ya kukanyagia mguu..
Mzee kakutwa AMEFARIK ndani kwake usiku huu na mkewe still ndio wanashuhurikia kwenda ku uhifadhi mwili wake muda huu
Basi ngoja nirudishe hii anti tank yangu, kwenye shelf yake😆😂.Leo fanyeni kama mmenisusia lindo
Tulia wewe😁Basi ngoja nirudishe hii anti tank yangu, kwenye shelf yake😆😂.
Ila tuki vamowa lazima niku Kate hicho kipara.
Kitendo Cha Mimi kurudisha anti tank, na una jua ma pilot wa f35 hatuna.Tulia wewe😁
Yaan,So bad bro, I hate death sema ndo promised dream ambayo kila mtu ata fanikiwa ifikia au pata.
Roho ya marehemu ipumzike kwa amani.
Pole kwa wafiwa na majirani pia.
Asante SanaaPoleni sana mkuu
Yap men, una jua most resilient parasite ni ipi??Yaan,
Ukikifikilia kifo huwezi fanya chochote
Mkuu umetumia lugha ngumu kidogo mimi na la saba yangu anti tank nitaijulia wapi?Kitendo Cha Mimi kurudisha anti tank, na una jua ma pilot wa f35 hatuna.
Ni sawa na kuuza Uhuru na amani yetu, so lazima uvunjwe Taya kwa mifupa wa tembo😆😆
SijuiYap men, una jua most resilient parasite ni ipi??
A most resilient parasite ni idea, once it's hooked into the brain. Ni ngumu kuwa eradicated.Sijui
Ashukuriwe mama sasa na wakati ujao
Na nyie mafogo mnaomsapotiAshukuriwe mama sasa wakati ujao