Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,900
- 82,151
1:12 AM loyal
kama semaji la team bilioneas nasema tusichaguliane silaha kwenye vita wala hakuna kukimbilia polisivUmsalimie bosi wako, ujumbe ni utavuna ulichopanda 😅
Binafsi bora joto.Bora baridi kuliko joto mkuu.
Kwani hii thread ni kukesha tu?
Hapana kujichukulia sheria mkononi, ruksa kung'ata na kukimbia ukizidiwa.kama semaji la team bilioneas nasema tusichaguliane silaha kwenye vita wala hakuna kukimbilia polisiv
biita ni bita mang'anaHapana kujichukulia sheria mkononi, ruksa kung'ata na kukimbia ukizidiwa.
Joto ni tabu manBinafsi bora joto.
Hii ni special kwa kukesha,wale wanaochelewa sana kulala na wale ambao wako night shift.
Joto kuna namna ya kuliondosha ila baridi ni hatari zaidi.Joto ni tabu man
Mtu wa system salute 😅biita ni bita mang'ana
ukinirushia ak 47 nakurushia BM au 14![]()
![]()
![]()
Mwaka juzi june nlikua marangu, aseee ile baridi....ngiri nje nje, blanket 2 ila bado ni baridi hapana aseeeJoto kuna namna ya kuliondosha ila baridi ni hatari zaidi.