Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,987
- 24,331
Dahan nimemleta afande mpya. Ulikuwa unalega lega sana. Tafadhali mpe ushirikiano..On it, 🖐️🖐️🖐️
Dahan nimemleta afande mpya. Ulikuwa unalega lega sana. Tafadhali mpe ushirikiano..On it, 🖐️🖐️🖐️
Hili ni LINDO. Hakuna rafiki. Ni NDIYO AFANDE. .Mi nipogo humu sana sema ndo hivyo nachangia nadra sana, rafiki
Sawasawa AFANDEHili ni LINDO. Hakuna rafiki. Ni NDIYO AFANDE. .
Basi lala kwa amani niko nakulindaLindo lako hili leo.. Mie napita tuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana.. Fanya kurequestUtaratibu wa mabasi kufika Mbezi trminal usiku wa manane sio poa kabisa. Usafiri wa kuwapeleka abiria nyumbani shida. Hakuna mahali popote pa kupumzika ili alfajiri ifike. Hakuna chakula.
Mabasi yangefika alfajiri ya saa 11 asubuhi. Yaanza safari muda ambao yatafika Mbezi alfajiri au asubuhi.
Ushirikiano upi? FafanuaDahan nimemleta afande mpya. Ulikuwa unalega lega sana. Tafadhali mpe ushirikiano..
AminaKumekucha, muwe na siku njema na yenye Baraka kwenu wote.
Amina, na kwako pia👍Kumekucha, muwe na siku njema na yenye Baraka kwenu wote.
huna baya mwanangu👊🏾Oy mshamba_hachekwi ,,all the best dogo.. 😀😀😀
Haina kweree😂😂huna baya mwanangu👊🏾