JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Alaa umeshapata somo siku ile au leo njugumawe mzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema ukweli tu.
Leo Nimenunua dagaa,fungu langu la buku mapemaa! Hapa nasongewa ugali...Hakuna figisu tena. Maana siku wali maharage walikula watoto asbh. Mi niliishia kupiga mihayo Tu.
 
Back
Top Bottom