JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kuna habari gani humu ndani?? Ewe baharia kama umemuita Dada wa mwenzako aje kulala kwako usiku huu uwe makini, anaweza kukufia. Utafanyeje? Au azimie ghafla na hujawahi kumuona au kusikia au kukwambia kuwa ana tatizo la kuzimia. Oogh take care

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabaharia huwa hawaogopi mambo hayo. Ikitokea ni ajali kazini. 😂
 
Kuna habari gani humu ndani?? Ewe baharia kama umemuita Dada wa mwenzako aje kulala kwako usiku huu uwe makini, anaweza kukufia. Utafanyeje? Au azimie ghafla na hujawahi kumuona au kusikia au kukwambia kuwa ana tatizo la kuzimia. Oogh take care

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sasa mbona tunatishana wakati ndio nimetoka "ku inMpoRT " mali mpya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom