JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

[emoji23][emoji23][emoji23] ila wamarekani sio watu aah nikikumbuka movie ya Bin Laden shoot to kill aah majamaa ni wanabalaa zito hawa watu natamani nipate hata hiyo movie ya general wa Iran alivyo fagiwa na hawa watu.
Hahahaha noma

IRAN naoma kama anaharibu bajeti, yani katumia gharama kununua silaha halafu anapiga off target?

It's Scars
 
IRAN wajipange wasizongwe na sifa, uwezekano wa kupona upo kama general atakua mia khalifa....
FB_IMG_15786911489036825.jpeg


It's Scars
 
Iran hamna kitu pale wale wanacheza na majukwaa, kashambuliwa kiongozi wa majeshi halafu bado wameduwaa/

It's Scars
Watu waeingia kama walivyomfanyia osama dah wanakuja kushtuka Afghanistan kuwa wamarekani walikuwepo ndio wenzao wanaondoka hivyo marekani [emoji119] jamaa ni special sana kwenye kufanya matukio makubwa.
 
Back
Top Bottom