JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Bila mavumba utakosa vingi utaonekana kama kero, hata masai atakupita kimya bila kukusalimu yero

It's Scars
 
Marekani mi ndo msemaji wao hunioni navyo wa pump?, kwa mfano kama leo huwezi amini kua nimemkatia simu trump/

It's Scars
[emoji23][emoji23][emoji23] ila wamarekani sio watu aah nikikumbuka movie ya Bin Laden shoot to kill aah majamaa ni wanabalaa zito hawa watu natamani nipate hata hiyo movie ya general wa Iran alivyo fagiwa na hawa watu.
 
Back
Top Bottom