JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hahah haina paringi chalaa angu, niko fasi hizi kuna inshu kidogo nafuatilia arifu.

Manyang'au Mungu atasaidia nikitoka hapo night ntaimalizia pale La Patio.
Paring naweza sema ukishakula mavyombo asee uwezi jua mtu anaeza kuwa na mabero mapampam akakutumbua dingii ikawa kisanga.

All the best asee ila take care arif.
 
Hahah noma noma sana mkuu,itabidi wana CHAPUTA watengenezewe SOBER HOUSE zao aisee.
Kabisaaa
Back in the days nilivokua form 4
Tulikua tuna tabia ya kukaa karibu na bafu
Sa jamaa etu mmoja akaingia bafuni baada ya dakika 10 alipiga yowe,jamaa mmoja akaenda kumcheki akakuta mshikaji mashine imevimba[emoji23]

Siku nyingine tena mlinzi wa shule kaingia bafuni sa mirango ni mifupi yani miguu yote ukiwa unaoga inaonekana nusu
Yule mjinga si akachuchumaa kujichua[emoji23]
 
Kabisaaa
Back in the days nilivokua form 4
Tulikua tuna tabia ya kukaa karibu na bafu
Sa jamaa etu mmoja akaingia bafuni baada ya dakika 10 alipiga yowe,jamaa mmoja akaenda kumcheki akakuta mshikaji mashine imevimba[emoji23]

Siku nyingine tena mlinzi wa shule kaingia bafuni sa mirango ni mifupi yani miguu yote ukiwa unaoga inaonekana nusu
Yule mjinga si akachuchumaa kujichua[emoji23]
Hahah nimecheka kishenzi daah ile kitu haijawahi kumuacha mtu salama.

Umenikumbusha chalii mmoja alikamatwa na polisi pale Coco baada ya kukutwa akijichua kwenye Altezza yake alipokamatwa akawa anaulIza yeye kosa lake ni nini hapo?hahah
 
Hahah nimecheka kishenzi daah ile kitu haijawahi kumuacha mtu salama.

Umenikumbusha chalii mmoja alikamatwa na polisi pale Coco baada ya kukutwa akijichua kwenye Altezza yake alipokamatwa akawa anaulIza yeye kosa lake ni nini hapo?hahah
[emoji23] Ha Ha Ha
Si unaona, yani hata uwe na wanawake wengi kiasi gani au pesa kiasi gani ile kitu huachi kabisa

Vipi walimuachia ?
 
Back
Top Bottom