mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,134
Hahah hapa mjini kuna mambo mengi yasiyoonekana mkuu,hahah[emoji3]mkuu ulipata zari la mentali aisee
Hahah hapa mjini kuna mambo mengi yasiyoonekana mkuu,hahah[emoji3]mkuu ulipata zari la mentali aisee
Nakusalimu tu mkuu wangu.Terrible, am knackered....trying to be loyal kwa LIndo, otherwise I would be snoring by now.
What about yours?
Mambo? Za mwisho wa wiki?Nakusalimu tu mkuu wangu.
[emoji23] umenikumbusha leo mchana nilikua naangalia movie ya jamaa alochezaga MR BONESHiyo Lugha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha leo mchana nilikua naangalia movie ya jamaa alochezaga MR BONES
Sasa jamaa kakimbiza gari spidi kubwa mno trafiki alivomkamata akamuuliza jina, jamaa akajibu kwa ki zulu(nkosi nto nto ntu.....) jina refu kweli trafiki ni mzungu ikabidi amuambie "nenda"
Poa sana mkuu,hopefully w/end inaenda poa.Mambo? Za mwisho wa wiki?
Ila jana sikukuelewa ujue ile kauli yako mpaka sasa emu ifafanue basiLMAO!!!!!!
Hio movie inaitwa PANICK MECHANIC,hahah.[emoji23] umenikumbusha leo mchana nilikua naangalia movie ya jamaa alochezaga MR BONES
Sasa jamaa kakimbiza gari spidi kubwa mno trafiki alivomkamata akamuuliza jina, jamaa akajibu kwa ki zulu(nkosi nto nto ntu.....) jina refu kweli trafiki ni mzungu ikabidi amuambie "nenda"
Ndio imeanza...ni mapema kusema.Poa sana mkuu,hopefully w/end inaenda poa.
Najaribu kupiga chabo nipe dk 1Ila jana sikukuelewa ujue ile kauli yako mpaka sasa emu ifafanue basi
Ujue mi slow lena
Yap, because some signs are already thereToo bad, if it's real it will be clear on 2020 campaigns.
Hahah wapi hio?Ndio imeanza...ni mapema kusema.
Kop huyu Soton tumtandike ngapi nataka niandike kimakala cha kufurahisha. Tatizo naogopa leo Klopp anaweza kufanya rotation alafu madogo wakazingua.
LindoniHahah wapi hio?
Yap, because some signs are already there
Ref his sister's burial the lady was not around
Sawa sawa.Lindoni
SawaaaNajaribu kupiga chabo nipe dk 1
Hofu yangu ni pale nyuma naona kuna uwezekano wa Mignolet, Lovren na Moreno kuanza. Lallana na Shaqiri pia nao naona wanaweza kuanzaNimepita Echo wanazungumzia issue ya Hendo, Gino na Keita katikati, Milner apumzike.
Pia Bobby anaweza kukaa benchi, Salah kocha kamtetea, so ataendelea kuwemo.
In that scenario cleansheet ya 2 goals itakuwa tamu.
Bado mapazia yamefungwa. ..labda asubuhi watayasogeza pembeniSawaaa