Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,658
Sawa!Lipi hilo tena?mbona km hili bichwa lishafuta?niulize tena bhana but km private nitupie PM.
Sawa!Lipi hilo tena?mbona km hili bichwa lishafuta?niulize tena bhana but km private nitupie PM.
Km huku wababe wa kukesha wamelala sijui huko medani za wazee km utakuta mtu.Narudi kwenye ulingo wa siasa
Uzuri wa kule hakuhitaji longo longo hata peke yangu nitalisongesha kwa kusoma maoni ya wananchi!Km huku wababe wa kukesha wamelala sijui huko medani za wazee km utakuta mtu.
Weee,ebu nisubiri basi hapo kituoni nachukua utumbo mm,.Mi napita tu! Nimetoka Vingunguti kununua vifaa vya SUPU
Wewe umepata wapi utumbo? Mi nimekosa! Nimepata Mapupu! Makongoro! Na bandama tuWeee,ebu nisubiri basi hapo kituoni nachukua utumbo mm,.
Kwa mpare ulikuwepo mbona,japo wakugombania kweliiWewe umepata wapi utumbo? Mi nimekosa! Nimepata Mapupu! Makongoro! Na bandama tu
Ndio kilichonshinda! Mi sinaga Maguvu!Kwa mpare ulikuwepo mbona,japo wakugombania kwelii
Tuko macho kabisa
Jirani kwema? ufunguo umepotea nini mbona geti lipo wazi muda wote.[emoji79][emoji79]chafyaaa
Yaanii,sijui mwwnye zamu yuko wapi,..Jirani kwema? ufunguo umepotea nini mbona geti lipo wazi muda wote.
Jirani kwema? ufunguo umepotea nini mbona geti lipo wazi muda wote.
hello helloooYaanii,sijui mwwnye zamu yuko wapi,..
Jirani kwema? ufunguo umepotea nini mbona geti lipo wazi muda wote.
Au tubadili jina la uziYaanii,sijui mwwnye zamu yuko wapi,..