Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
Hahaaa!Mimi bwana naishi maisha yangu kua wapo feki na real pia..Mimi sijapanga naishi kwenye nyumba za urithi yangu iko Dom kisasa na mwanza!japo mzazi mwenzangu yeye ndo anazikontrol but kuna nguvu yangu gari kwa sasa sina!Ni kosa la jinai humu jf kuwa na gari,nyumba na kusoma. Ukitaka amani sema umepanga chumba kimoja tandale,usafiri wako daladala na uliishia la saba.
Usiogope mtu ishi maisha yako!jf kuna watu wana husda hawapendi kuona Fulani yuko juu hizo ni neema tu wengine wazazi wetu waliwahi ujanja hapa mjini!!
Sent using Jamii Forums mobile app