JamiiForums imenipatia mke mwema

JamiiForums imenipatia mke mwema

Basi kama hilo kwake ndo pambo then sio mchaguaji mzuri wa mapambo coz what I think about mapambo atleast 75% should admire that pambo but hili la kaka blessings mhh hapana kwa kweli

It's not about you or anybody else, it's about the two of them.

Unajua wanapeana vitu gani?
 
Last edited by a moderator:
Basi kama hilo kwake ndo pambo then sio mchaguaji mzuri wa mapambo coz what I think about mapambo atleast 75% should admire that pambo but hili la kaka blessings mhh hapana kwa kweli

huo ni mtazamo wako na uhuru wako wa kufikiri huyo mke ni wake na ataishi naye yeye hyo75% haihitajiki kwake.
 
Last edited by a moderator:
It's
not about you or anybody else, it's about thr two of them.

Unajua wanapeana vitu gani?

Ofcourse we all know its about the two of them, by the way I truly
admired blessings he seems to have true love over that kind of a woman
 
Last edited by a moderator:
Ofcourse we all know its about the two of them, by the way I truly
admired @bleesings he seems to have true love over that kind of a woman

Sasa kama unajua habari ya "it's about the two of them", habari yako ya "si mchaguzi mzuri" inatoka wapi?

Kwani anakuchagulia wewe?

Utajuaje kizuri kwake ni kipi?
 
Hongera sana, sio kila mwanamke/wanawake wa mitandaoni hafai/hawafai
 
Sasa
kama unajua habari ya "it's about the two of them", habari yako ya "si
mchaguzi mzuri" inatoka wapi?

Kwani anakuchagulia wewe?

Utajuaje kizuri kwake ni kipi?

ahhh ndugu yangu hata ukivaa nguo mbaya old fashioned watu watakukosoa
tu japo nguo umeivaa wewe na wao haiwadhuru chochote kwahyo we cant
prevent ourselves from comments and criticisms from others
 
Kama Ndivyo Pokea Hongera Zako,Muwe Na Maisha Mema
 
Mwonekano kwa nani?

Mtu anaoa mke wake, si mke wa jamii.

Kwa hivyo, muonekano ukimridhisha yeye kiasi cha kukubali ndoa, ndoyo ushamridhisha, wengine hamhitaji kuridhishwa.

Hata King Kong alichukua mtoto bomba.
Usimpoteze mwenzio kabugi akialikwa kwenye afla yenye adhi wahudumu wanapita bila kumuuliza kama anakunywa vinywaji!
 
Pole nimejikuta maneno haya yananitoka tu! Lakini mhm kunawatu wanamoyo wa nazi mhm nibora waniite jioga la wanawake!

Hahahhhahahhha mi kidogo nidhanie ya mapicha yaleeee
 
yamesemwa mengi, kwako mengine mazuri na mengine mabaya. yachambue kabla ya kuyatumia. kwangu mimi nawatakia maisha mema! tehetehetehe..!
 
Aisee huyo dada anaitwaa nani humu jamiii tumfahamu maana ni mrembo kweli kama ulivyosemaa
 
Usimpoteze mwenzio kabugi akialikwa kwenye afla yenye adhi wahudumu wanapita bila kumuuliza kama anakunywa vinywaji!

Heshimu maamuzi ya mwingine.

Kwa nini habari ya ndoa ambayo ni makubaliano ya watu wawili ikuhemeshe wewe mtu wa tatu kuhusu uzuri wa mke?

Unamtaka wewe huyo mke?

Au wewe ndiye ulitaka kuolewa badala yake?

Wanaume wanapoamua.kuoa.huangalia.vitu vingi, na wewe huwezi kujua mwenzako katangaza ndoa hapo kwa sababu gani.

Certainly you can't tell that from a photo.
 
Back
Top Bottom