franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,481
Kaka blessings kwa kweli unastahili pongezi kama si honorary doctorate kwa kumchagua bibie kuwa mkeo, maana ni shidaaaaaaaa!!!!
mmh! hongera ila mkeo huyo ana sura ngumu kama vile mjeda! anyway si mbaya la muhimu kama ana pango la kukupunguzia ashki hakuna mbaya.
Kaka blessings kwa kweli unastahili pongezi kama si honorary doctorate kwa kumchagua bibie kuwa mkeo, maana ni shidaaaaaaaa!!!!
hii ni ndoto..mtandao ukupe mke au mume duu !! kuja kulaumiana tu!!
Laana inapatikana kokote kwani unayekutana nae hapa si ndo unayemtamanitamani hapo kitaa au kwa vile tunatumia fake id
Acheni wivu kwangu tunapendana mi na mke wangu nyie endeleeni kuchonga twajilia vyetu kwa nafasi
iyo shidaaaaaaaaaa yenyewe iko kwenye nini sasa
Acheni wivu kwangu tunapendana mi na mke wangu nyie endeleeni kuchonga twajilia vyetu kwa nafasi
Ndo kashawekwa ndani tyenaaaaa!!! Umba wako mwenye sura nyepesi