Umeona enh! Halafu wengine tunachoshindwa kufahamu ni kwamba kila mmoja ana taste yake... na taste yako itabaki kuwa yako na ya kwangu itabaki kuwa yangu na kinyume chake ni yale ya heri ya nusu shari... kwamba ali mradi nimekosa Coca cola, basi acha nijitahidi na hii hii Pepsi! Na kwenye mahusiano kila mtu ana priorities zake... wakati wengine wanaangalia body context... mguu mzuri, pua mzuri, reception iliyoenda shule; na kuna wengine wanaangalia body content... kichwani zimo au hazimo!!Kweli kabisa, sura ngumu nini kama mtu kishapendwa bhana!! Alafu tabia yakumwona mtu ni mbaya sana, weo wana uzuri upi wakupiga kelele za kumfedhehesha binadam mwingine. mtu alizaliwa mzuri na akajijua ni mzuri huwa hana mbwembwe, mbwembwe tunazo wateja wa mchina tu kwasababu hATUJIAMINI.