JamiiForums imenipatia mke mwema

JamiiForums imenipatia mke mwema

Kiongozi mie nimetambua juhudi zako tu...hahahaaaa..we mkareee!
Hahahahaaaa! Utamfanya ndugu yangu Asprin adondoke chini kwa kihoro manake utakuwa unabashiri anguko lake!
 
Last edited by a moderator:
Mke ni pambo la ndani ila sidhani kama huu usemi utakuwa applicable kwa kaka blessings.
Surely love is blind


kila binadamu ameumbwa kwa sura na mfano wa mwenyezi Mungu ,

huenda unaikufuru kazi ya Mwenyezi Mungu

ila al in all beauty is in the heart, love is connected in the heart
 
Wadau wa JF nashukuru sana JF kwa kunipatia mke mzuri na anayenipenda kwa dhati na hatimaye tumefunga ndoa takatifu. Please wadada msinitafute tena nimepata mwenzangu wa maisha

Hongera! sasa mbona umetangaza akina dada wasikutafute bila kuwatangazia na akina kaka wasimtafute tena mkeo!!!!
 
Hongera mwaya naona best man anamwangalia mno huyo mdada aliyekaa hapo chini . Mmependezea sana hongera kwa mara nyingine baada ya miaka kadhaa mtakua mnafanana sijui kama kweli lkn manake watu husema watu wakikaa pamoja muda mrefu hufanana hasa wanandoa.

Hahaaa! Sa Nani atafanana na mwenzie? Au mume atafanana na Mke? Au vice versa
 
Mkuu blessings mnaendeleaje na Mkeo/MJEDA? vipi ndoa imeshajibu? ila kusema ukweli kaka hapa ulikamatika aisee yaani katika wanawake wote ukaamua kwenda kumchukua huyu mwenye SURA NGUMU. Kweli mapenzi ni UPOFU.
 
Hongera sana Ndugu Blessings naona huyo mkeo ni mwema ROHONI si mwilini daah!! hakika unastahili pongezi hivi ulimlipia mahari kabisa? Kweli watu tunatofauti maana ya MKE
 
na baridi hii kaka blessings unafaudu dude lako jeusiiii nasikia yana joto sana kule DODOMA (makao makuu ya chama na serikali)
 
  • Thanks
Reactions: G3T
Hongera sana ndugu yangu blessings na kimvua hiki aisee unajipimia tu shemeji yetu huyu after all una uhakika upo peke yako maana unajua hakuna atakayemtongo.za
 
  • Thanks
Reactions: G3T
Mwenyezi Mungu katuumba tofauti-tofauti ili kila mmoja apate wa kufanana naye. Hongera sana blessings. Itakuwa vyema sana na mwenza wako akafunguka hapa jamvini ili wale akina tomaso waweze kuamini kwamba mmekutana papa hapa. Maisha mema na yenye furaha!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: G3T
Jamani sio vizuri mnavyomsema vibaya mke wa mwenzenu, sasa mnataka amwache?
Mimi nakupa hongera sana nawatakia maisha marefu mke ni tabia.
 
Mbona huyu mwanamke kama bodyguard Wa mama salma kikwete
 
Back
Top Bottom