JamiiForums imenipatia mke mwema

JamiiForums imenipatia mke mwema

hongera sana mkuu kwa kupata mke na mwenyezi Mungu na akushibisheni uaminifu na baraka tele ya ndoa yenu.
 
Hongera kaka maana huvyo atakuwa wako wako tu hakuna mchepuko...

Hahahah,

Umeonaa eeeh?

Kuna watu wana mahesabu tofautiii.

Halafu anakuja mtu baki anaanza ku criticize uzuri.

Wakati mshashi anaweza kuona huo mnaoona uzuri ndiyo ubaya na huo mnaoona ubaya ndiyo uzuri.

In an attempt to live positive in these negative times.

Or is it negative in these positive times?
 
hivi nani kakwambia watu wote wanao mke hili kupamba nyumba?

Hivi ni kweli kila kizuri kwako ni kizuri kwa wote?

Yani hili ndilo pekee unalo fikiri kuhusu umuhimu wa mke?

Kumbe wengine mnaoa hili mfanye maonesho?

Sema wewe mkuu, kuna baadhi ya watu wako so shallow hata meli ya maboksi haiwezi kuelea.
 
mkeo kafanana na memba humu jf anaitwa nitonye, Anatumia id gani hapa jf tuingie "maktaba" tufukunyue nyuzi zake za nyuma tuone anavyojisifia alivyo mzuri!
 
Uzuri wa mwanamke ni tabia, sura hata mbuzi anayo. Unaesema kaingia chaka kwani ndoa ilifungwa ndo wakakutana au walikutana wakakubaliana kila mtu akaridhika wakafunga ndoa"kimfaacho mtu ndo chake"kisichokufaa wewe sio chako
Ukute Avatar yake ni nzuri kama beyonce, Mwe ipo haja wana JF kutumia real picture badala ya Avatar za uongo. Unaweza ukaingia chaka hivi hivi kama mdau.
 
Kiukweli tuache unafiki uyo mke wa jamaa ni mbovu acheni kusifia uwongo uku moyoni mwenu mnasema anasura mbovu
 
Anaotea otea gizani tu.

Mkenge wa kuoa baado sana usawa huu, if ever I will stumble on that predicament, it won't be anytime soon.

unamaanisha kuwa kila anaeoa/olewa anaingia mkenge
 
unamaanisha kuwa kila anaeoa/olewa anaingia mkenge

More like kila anayesema kila bila qualification anaingia mkenge.

Ila kwangu mimi, maisha yangu, mtazamo wangu, dynamics zangu, falsafa zangu n.k, ndoa ni mkenge.

Of course that need not be so for everyone.

Because not everyone shares the same dynamics, outlooks, philosophies etc mentioned above with me.
 
More like kila anayesema kila bila qualification anaingia mkenge.

Ila kwangu mimi, maisha yangu, mtazamo wangu, dynamics zangu, falsafa zangu n.k, ndoa ni mkenge.

Of course that need not be so for everyone.

Because not everyone shares the same dynamics, outlooks, philosophies etc mentioned above with me.

kila mtu na mtazamo wake sawa
kaa ukijua tunaishi ndani ya jamii ambayo ukienda nayo tofauti lazima ina haki ya kuuliza nini tatizo maana utakuwa hauko sawa ingawa ndani yako inaweza isiwe hivyo
pamoja na yote huu ni mtizamo wangu
 
kila mtu na mtazamo wake sawa
kaa ukijua tunaishi ndani ya jamii ambayo ukienda nayo tofauti lazima ina haki ya kuuliza nini tatizo maana utakuwa hauko sawa ingawa ndani yako inaweza isiwe hivyo
pamoja na yote huu ni mtizamo wangu

Jamii zote zilizoendelea zimepata kuendelea kwa kujali faragha na maamuzi ya watu binafsi. Hata wanapokuwa tofauti na jamii.

Kwa sababu hakuna jamii isiyo na watu binafsi, na hata hawa watu binafsi walio tofauti na dominant streams within jamii, ni sehemu ya jamii.

Hivyo ndivyo watu walivyopata kujua kwamba dunia si bapa bali ni tufe karibu na mduara.

Hivyo ndivyo watu walivyogundua kwamba jua halizunguki dunia, bali dunia inazunguka jua.

Hivyo ndivyo watu walivyogundua kwamba muda si kitu kimoja kwa ulimwengu mzima (I am not talking about time zones, rather Einstein's relativity) na unategemea kasi na sehemu ya mtazamaji.

Kama binadamu angekuwa anaaangalia na kuheshimu taratibu za jamii muda wote, tungekuwa bado tunaishi mapangoni na hata moto hatujagundua mpaka leo.

Kwa sababu hata ugunduzi maana yake ni kuibua kitu kipya na tofauti, ambacho hakijakubalika wala kujulikana na jamii.

Kwa hivyo, kama jamii inataka kuendelea, haina budi kuwakubali qanaoenda tofauti nayo na ku challenge maoni fulani ambayo yanaonekana kuwa kweli kama injili.

Kwa sababu kushikilia maoni ya jamii kwa sababu ni ya jamii tu kungetufanya tuamini dunia ni bapa na inazungukwa na jua mpaka leo.
 
Back
Top Bottom