TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,848
- 2,051
Unaona sasa... mtoto mzuri halafu unakuwa mkali kama pili pili, aaaaargh... kwanza ukali wenyewe wala hukupendezi!
Hahahaaaa
Unaona sasa... mtoto mzuri halafu unakuwa mkali kama pili pili, aaaaargh... kwanza ukali wenyewe wala hukupendezi!
Watu kwa kebehi hatuwawezi..!
Tungeambiwa tuweke picha halisi humu wengi wetu tungedhindwa.
hahahahahaaa! Sweetheart, inakuhusu hii but cheza mbali nae manake dadaz wa kishua wote washashtuka na wanamkacha hivi sasa!
Duh mke mzuriii huyoooooo! Hongera
ila kwenye ukweli,kweli ukisema cha nini? Wenzio wanasema watakipata lini.............!!!!
ila kwenye ukweli,
uwongo hujitenga,
sura ya bi harusi,
ni nzito.
Sasa inabidi nikukague vile vile manake hilo ndo darsa ambalo Asprin amesema anataka kunipatia... sawa, enh?!Mm nlishakaguliwa na uyu babu mbona
Bila shaka yupo humu coz' alikutana na bwana harusi humu humu! all in all, awe na sura ngumu au laini, mwenyewe ndo keshampenda huyo hawa wengine watabaki tu kupiga kelele za vyura ambazo mkuu blessings wala hazitamsumbua!!!Hee!!!! jamani, usiseme hivo sasa kama dada wa watu yupo humu jf atajisikiaje??.
Basi haya, nitaanza ukaguzi very soon ila usiogope manake ukaguzi wangu mie upo deep usipime!!!Don't worry my dia
My umenikurupusha Kha!!!!!. ujue nilijua ndio wewe. bidada wa haja kwa kweli. wacha nami nitupie HONGERAAA.
Bila shaka yupo humu coz' alikutana na bwana harusi humu humu! all in all, awe na sura ngumu au laini, mwenyewe ndo keshampenda huyo hawa wengine watabaki tu kupiga kelele za vyura ambazo mkuu blessings wala hazitamsumbua!!!
haaa my mwenzio kabla sijasoma kimoyomoyo nkafrah nkasema twin weeeeee mola ashukuriwe milele na milele amina! my jf nikama jungle ohooooooo!
My mimi nitatupia my pic soon, just wait.
ILA jf kwel kiboko, inatuachaje njia panda. wakati mwingine kibibi kama mimi nikiongea watu wanadhani ni binti wa under 18, kumbe ajuza mie sura ishakunjana, miguu inarudi nyuma badala ya kwenda mbele lakini nipo tu. ha haa haaa haaa.