inama
Senior Member
- Oct 9, 2021
- 181
- 356
Habari wana JF
Mimi ni kijana muhitimu wa chuo katika fani ya ufundi umeme mwaka juzi mkoani Arusha.
Nakumbuka mwaka uliopita nilipita Uzi mmoja uhusuo maswala ya wahitimu. Ama kweli JF imebadilisha maisha yangu!
Katika ule Uzi kuna mtu mmoja aliquote kwa kushauri wahitimu katika kada ya umeme. Hatimaye nimefanyia ushauri wake kazi na mpaka sasa nina ofisi yangu ya umeme inayohusiana na maswala ya motor rewinding(kusuka motor) na pump za maji yenye mwaka mmoja na maisha yanasonga mbele.
Namshukuru sana aliyetoa ushauri, abarikiwe.
Mimi ni kijana muhitimu wa chuo katika fani ya ufundi umeme mwaka juzi mkoani Arusha.
Nakumbuka mwaka uliopita nilipita Uzi mmoja uhusuo maswala ya wahitimu. Ama kweli JF imebadilisha maisha yangu!
Katika ule Uzi kuna mtu mmoja aliquote kwa kushauri wahitimu katika kada ya umeme. Hatimaye nimefanyia ushauri wake kazi na mpaka sasa nina ofisi yangu ya umeme inayohusiana na maswala ya motor rewinding(kusuka motor) na pump za maji yenye mwaka mmoja na maisha yanasonga mbele.
Namshukuru sana aliyetoa ushauri, abarikiwe.