Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,157
Ukifika mtaa au mji wowote wadadisi jinsi wanavyowafanya wezi wadogo wadogo wa kuku, nguo, au vitu vingine.
Ukiona wenyeji wako wanaanza kujisifu kuwa wao huua wezi hiyo jamii imejaa wajinga na wapumbavu na ina watu wenye roho mbaya a.k.a wachawi.
Hakuna maendeleo kwa watu kama hao, kuwekana misukule, chuma ulete ni jambo la kawaida sana.
Watu hao hawaijui report ya CAG, hawaijui hata bajeti ya wizara Moja. Mabilioni yanayochotwa na mafisadi wala hawana mpango nao ila mwizi wa kiswaswadu watamchoma moto haraka.
Ukiona wenyeji wako wanaanza kujisifu kuwa wao huua wezi hiyo jamii imejaa wajinga na wapumbavu na ina watu wenye roho mbaya a.k.a wachawi.
Hakuna maendeleo kwa watu kama hao, kuwekana misukule, chuma ulete ni jambo la kawaida sana.
Watu hao hawaijui report ya CAG, hawaijui hata bajeti ya wizara Moja. Mabilioni yanayochotwa na mafisadi wala hawana mpango nao ila mwizi wa kiswaswadu watamchoma moto haraka.