sr bachelor
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,198
- 798
wewemtoto ningekuwa bongo ningekutongozaMi natafuta BUZI LENYE MIPESA YAKE LINILEE, Mwaka wa pili huu sipati kitu au nina nyota ya chipsi yai mieee, kupendwa na wanafunzi tuuu na broke a.ss. Nyie mapedeshee humu ndo kusema hamnioni ama mnanifanyia kusudi tuuu? :lol:. Nishaoga maji ya bahari mara kibaooo, au mpaka mtu anywe sumuu? Mfanye mjiongezee bwana sio fresh wala nini.:A S 20: