Ni sawa mkuu...ila unahisi wahusika ndo waliomtuma kupost huo uzi??
Tehe! tehe! Tehe!......sociology haipo mbali saaaaaaaana na mascomu khakhaa!
Naogopa sheria iliyopishwa juzi ya cyber crime (intentionally and unlawfully)Bila kutaja majina itakua ni kamba tu kama kamba nyingine
Hilo ndiyo la maana .... kuwatakia heri ya mipangilio yaoyote yanawezekana.....
hongera zao nyingi.....
Au siyo MkuuBora watupunguzie idadi ya Makapela.
ExactlyKila sehemu inakutanisha watu ili mradi wana lengo moja na wanaendana. Ni kama sehemu nyingine yoyote unaweza kupata mnayeendana au laa!
Tehe! tehe! tehe!..... hii ndiyo MMUHahahaaa..,,Weweee...Yaani kumbe umekuja kusema huku..!!
Ushuhuda kwa yeyote yule (hiari) ambaye anataka kusikia na kuona.Kwahyo Unamuambia Nani Sasa
Siku zijazo nitatoa majina yao halisi na ya ID lakini kwa kibali chao. Jamaa kaniambia bado hajala mzigo nikuambia siutamwaribia kwa sasa? Hapa mimi nimetoa tu ushuhuda wa JF inavyokutanisha watuMkuu kama umefikia hatua ya kutoa taarifa hapa sidhani kama kuna ulazima wa kuficha majina..ukiona mko kwenye mahusiano na mnakaribia ndoa ila still mahusiano yenu ni ya kujifichaficha hapo kuna walakini
Bila kutaja majina itakua ni kamba tu kama kamba nyingine
JF kuna nini mkuu? hebu dadavua kidogojf hii ninayoijua mm au?? tho ndege wafananao huruka wote. may be.
Nitawaomba ridhaa mkuu....wakikubali nawapost tu, Ila nimetoa ushuhuda wa jinsi JF inakutanisha watu mpaka wengine wanafikia stage hiyoWahusika wana haki pia ya kutaka majina yao ya humu yawekwe hadharani au la.
Wahusika hawajanituma ndiyo maana sijawataja, ila nimewatumia kama mfano wa jinsi JF inavyokutanisha watuNi sawa mkuu...ila unahisi wahusika ndo waliomtuma kupost huo uzi??
Tatizo lako wewe unaenda kwa waganga wa kienyeji kupata ushauri ndiyo maana. Hebu mgeukie na Mungu kama wewe ni Mkristo anza na toba kwani Pasaka hii ndiyo pake. Then baada ya miezi miwili utakuja hapa kushukuru. Lakini Mungu huwa ana makusudi yake anaweza kukupatia maskini lakini baada ya muda mfupi mkawa matajiri wa kutupwa kuliko hata hao mapedeshee unaowatamani. Kama ni kweli zingatia ushauri huuMi natafuta BUZI LENYE MIPESA YAKE LINILEE, Mwaka wa pili huu sipati kitu au nina nyota ya chipsi yai mieee, kupendwa na wanafunzi tuuu na broke a.ss. Nyie mapedeshee humu ndo kusema hamnioni ama mnanifanyia kusudi tuuu? :lol:. Nishaoga maji ya bahari mara kibaooo, au mpaka mtu anywe sumuu? Mfanye mjiongezee bwana sio fresh wala nini.:A S 20:
Tatizo lako wewe unaenda kwa waganga wa kienyeji kupata ushauri ndiyo maana. Hebu mgeukie na Mungu kama wewe ni Mkristo anza na toba kwani Pasaka hii ndiyo pake. Then baada ya miezi miwili utakuja hapa kushukuru. Lakini Mungu huwa ana makusudi yake anaweza kukupatia maskini lakini baada ya muda mfupi mkawa matajiri wa kutupwa kuliko hata hao mapedeshee unaowatamani. Kama ni kweli zingatia ushauri huu
Tehe! Tehe! Tehe! Ok anyway nilidhani unatafuta mume......Hahahahaaa! Nimuombe Mungu kupata buzi kweli hio si kuvuta simba sharubu? USHAURI WAKO HAUNIFAI.
Mjadala umefungwa turudi mada kuu maana watu hawashindwi kuukomlia.