Jamhuri msipoandaa Mawakili mkaendelea kubebwa na Majaji na Mahakimu tutaendelea kukodi Mawakili wa kigeni milele

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
 
Akili huna mleta mada dunia nzima huwezi fanya kazi ya uwakili bila kufanya mitihani ya Nchi husika na kufaulu uwe wakili

Ndio maana hata Ukienda Nchi ya Zanzibar hata Kama umesajiliwa Nchi ya Tanganyika Law society huwezi practice uwakili!!

Amsterdam wawili wa Lisu Hana ubavu wa kuingia mahakama za Tanzania Kama wakili
 
Akili huna mleta mada dunia nzima huwezi fanya kazi ya uwakili bila kufanya mitihani ya Nchi husika na kufaulu uwe wakili

Nduo maana hata Ukienda Nchi ya Zanzibar hata Kama umesajiliwa Nchi ya Tanganyika Law society huwezi practice uwakili!!

Amsterdam wawili wa Lisu Hana ubavu wa kuingia mahakama za Tanzania Kama wakili
Mtihani ni nini,hujui kama makanjanja wa feki hizokitu kila siku.
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?

inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!

Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!

Yaani kwa hali hii natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?

wakati akiwa hai sheria ilipitishwa haraka bila kuchelewa, leo hii nini kikubwa hicho kinacho chelewesha Mahakama kutokutumia Lugha ya Kiswahili?!

hizi Mahakama kweli zinawatumikia watanzania au zinawatumikia wazungu?
 
Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
Wamechemka mapemmaaaaaa

Screenshot_20210903-130237.png
 
Let us be serious kwenye serious issues hasa katika uandaaji wa mawakili wa Serikali. Nipo nafuatilia kesi ya Mbowe, naangalia namna mawakili wa Serikali wanavyojibu hoja, namna wanavyotetemeka kujieleza, namna wasivyoweza kuongea lugha kuu mahakama, najiuliza Hawa watu wanapata uwakili na kuitwa senior state attorney kwa vigezo gani?

Lakini pia wenzao wanawasilisha hoja zinazoambatana na references kuonyesha maamuzi mbalimbali yaliyowahi kutolewa na Mahakama lakini upande wa Jamhuri wanatoa plain words, it's like hawakusoma Wala KUJIANDAA au walishaahidiwa maamuzi ya Mahakama Ni yapi.

Kama Hawa ndio senior state attorney sishangai kuona kwenye kesi zinazoendeliwa mahakama za kimataifa tunaajiri mawakili wa kampuni binafsi kusimama mstari wa mbele huku mawakili wetu wakiwa nyuma. Sishangai kesi zetu kusimamiwa na madaktari na maprofesa wa sheria wanaolipwa mabiliaoni.

Huu mfumo wakipeana kazi kindugu unaua professional, kesi hii ingerushwa live Dunia ikaona namna serikali ilivyopwaya tungeweza kupewa hata misaada tuboreshe mfumo wetu wa elimu. Unajiuliza wanashinda vipi mapingamizi na kesi?
Kweli kabisa! Ukiwa mdau wa sheria ndiyo unaona haya unayoyaeleza vizuri. Wakati mwingine huwa najiuliza kwa kujilaumu: kwa nini niliamua kusoma sheria?
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?
inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!
Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!
Yaani kwa hali hii natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?
wakati akiwa hai sheria ilipitishwa haraka bila kuchelewa, leo hii nini kikubwa hicho kinacho chelewesha Mahakama kutokutumia Lugha ya Kiswahili?!
hizi Mahakama kweli zinawatumikia watanzania au zinawatumikia wazungu?
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?
inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!
Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!
Yaani kwa hali hii natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?
wakati akiwa hai sheria ilipitishwa haraka bila kuchelewa, leo hii nini kikubwa hicho kinacho chelewesha Mahakama kutokutumia Lugha ya Kiswahili?!
hizi Mahakama kweli zinawatumikia watanzania au zinawatumikia wazungu?
Huu ni Ubaguzi mkubwa ktk kudai haki ktk mahakama za Tanzania, Lugha ya Kiswahili ndio lugha ya Watanzania kwa nn Mahakama itumie Lugha ya kiingereza wakati inawahudumia waswahili?
 
lugha kuu ya Mahakama ndio ipi hiyo?
inamaana hadi leo hii Lugha yetu ya Kiswahili haina Maana mbele ya Mahakama zetu za Tanzania?!
Pamoja na sheria kupitishwa na Bunge!!
Waziri wa Katiba na Sheria Prof: Kabudi yuko.wapi kuhakikisha kiswahili kinatumiwa na Mahakama.
Sisi Watanzania tutaelewaje hiyo inayo daiwa kuwa lugha kuu ya Mahakama?!!
Yaani kwa natamani Magufuli afufuke, inamaana Magufuli alivyo kuwa anasisitiza Kiswahili kitumike hawa viongozi walikuwa wanamkejeli tu!?
Dunia kwetu kuwa Kijiji bado Sana,mawazo hayo no mazuri , endapo tungekuwa na uwezo wa kuitumia teknologia kwa ufanisi,tafakari kwa mazingira yetu kiswahili ni toshelezi kwa kiwango gani, kitaaluma, kiuchumi, kisheria na katika Manisha ya kila siku na mwingiliano wa kijamii kidunia.
 
Akili huna mleta mada dunia nzima huwezi fanya kazi ya uwakili bila kufanya mitihani ya Nchi husika na kufaulu uwe wakili

Nduo maana hata Ukienda Nchi ya Zanzibar hata Kama umesajiliwa Nchi ya Tanganyika Law society huwezi practice uwakili!!

Amsterdam wawili wa Lisu Hana ubavu wa kuingia mahakama za Tanzania Kama wakili
Na wewe nawe umejaa umate umate tu kichwani. Nani amezungumzia kuwa hawajafanya mitihani? Kwani wewe ulivyomjinga hivyo hukufanya mitihani? Bure kabisa.
 
Akili huna mleta mada dunia nzima huwezi fanya kazi ya uwakili bila kufanya mitihani ya Nchi husika na kufaulu uwe wakili

Nduo maana hata Ukienda Nchi ya Zanzibar hata Kama umesajiliwa Nchi ya Tanganyika Law society huwezi practice uwakili!!

Amsterdam wawili wa Lisu Hana ubavu wa kuingia mahakama za Tanzania Kama wakili
Ni vipi pale mtihani unatungwa na mwalimu kanjanja, mtahiniwa anakuwaje? Kukaza sio? Panua akili sio Masaburi!
 
Back
Top Bottom