Atachomoka? Wajumbe wa kamati ya kinidhamu ya mawakili watakaosikiliza kesi ya Wakili Boniface Mwabukusi

lord atkin

Senior Member
Sep 30, 2018
197
683
Wakili Msomi Boniface Anyisile Kajunjumele Mwabukusi ameitwa kwenye kamati ya kinidhamu kujibu tuhuma za kinidhamu dhidi yake alizotuhumiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Wafuatao ni wajumbe wa kamati ya kinidhamu ya mawakili watakaosikiliza kesi yake.

1. JAJI KALIKAMAJENGA (Mwenyekiti)

Jaji na mteule wa Rais

2. DR FELESHI (Mjumbe)

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mteule wa Rais na ndiye mlalamikaji

3. DR. LONGOPA (Mjumbe)

Kaimu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mteule wa Rais.

4. MWAKITALU (Mjumbe)

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali, Mteule wa Rais.

5. ADV VICTORIA MANDARI (Mjumbe)

Mwakilishi kutoka TLS

6. ADV FARAJI NGUKAH (Katibu)

Wakili Mwandamizi wa Serikali (Senior State Attorney)

Nimtakie kila la Kheri Wakili Mwabukusi katika safari yake ya kutetea leseni ya Uwakili.

Screenshot_20230801-211631.jpg
 
Hii nchi bana ina katiba outdated sana, kila kitu ni rais anachagua. Cha ajabu unakuta rais mwenyewe anapatikana kwa chaguzi zisizo na maadili.

Sasa sijui unategemea nini kwa rais anayeingia madarakani kwa kunajisi uchaguzi zaidi ya kufanya utawala wa hila.
 
Aende akahojiwe,halafu baada ya hapo,naye anaita press conference,atujuze yaliyojadiliwa.Akomae.
Asimuige Fatma Karume

Bibi yake Karume anakula 80% ya Mshahara wa Hussein Mwinyi sasa

Baba yake anakula 80% ya Mzigo wa Hussein


bado uchakavu mwingine

Tutamjaza nae atajaa …akitaabika tutaishia kama tulivyofanya kwa wengine sijui Kamanda tupo pamoja na blaa zingine
 
Mbinu hii ina athari zake zinazojengeka taratibu. Sasa, ita tegemea na Ego yake, umuhimu wa kazi yake, Familia yake, ambao-ambaye wanaweza-anaweza kumzonga na kumshawishi aachane nayo, au majukumu yake ya kifedha yakiwa yanategemea yeye kubakia kuwa Wakili. Yaani wanapiga presha taratibu taratibu, kulia kushoto chini juu mpaka asalimu amri. Nina mashaka kuchomoka kwake hapa.

Kwa upande mwingine, nadhani ameingiza uharakati wa kisiasa wakati alitakiwa abakie kwenye taaluma yake na mhimili wake wa Ki-Mahakama. Yaani huko alipoenda haikuwa sawa au njia alizotumia hususani kutumia vyombo vya habari na kujipiga kifua mbele yao, haikuwa au iliwakwaza ikiwa inamaana alikuwa akitingisha kiberiti dhidi ya mhimili mwingine wakati kuna michakato ambayo alipaswa kufuatilia kabla hajaanza kupaza sauti vile. Atachomoka, ila kwa hasara gani hapa?!

Anyways so far ni speculation zangu tu, ila jamaa linatisha, kisura, kisauti na lafudhi ukizingatia ni product ya Mbeya. Lazima ame wavuruga tu hao wakuu, na kibaya maagizo yashatoka, hakuna jinsi na ni pagumu kuchomoka
 
Hawawezi ticha msomi toka mbeya,hii yote baada ya kumchana ukwel yule mwenye cheti Cha upe toka Lindi 🤣🤣kwani uongo?mzawa wa Lindi na shule ,wapi na wapi?
 
Wakili Msomi Boniface Anyisile Kajunjumele Mwabukusi ameitwa kwenye kamati ya kinidhamu kujibu tuhuma za kinidhamu dhidi yake alizotuhumiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Wafuatao ni wajumbe wa kamati ya kinidhamu ya mawakili watakaosikiliza kesi yake.

1. JAJI KALIKAMAJENGA (Mwenyekiti)

Jaji na mteule wa Rais

2. DR FELESHI (Mjumbe)

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mteule wa Rais na ndiye mlalamikaji

3. DR. LONGOPA (Mjumbe)

Kaimu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mteule wa Rais.

4. MWAKITALU (Mjumbe)

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali, Mteule wa Rais.

5. ADV VICTORIA MANDARI (Mjumbe)

Mwakilishi kutoka TLS

6. ADV FARAJI NGUKAH (Katibu)

Wakili Mwandamizi wa Serikali (Senior State Attorney)

Nimtakie kila la Kheri Wakili Mwabukusi katika safari yake ya kutetea leseni ya Uwakili.

View attachment 2705457
Tunasimama na Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakili Msomi Boniface Anyisile Kajunjumele Mwabukusi ameitwa kwenye kamati ya kinidhamu kujibu tuhuma za kinidhamu dhidi yake alizotuhumiwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Wafuatao ni wajumbe wa kamati ya kinidhamu ya mawakili watakaosikiliza kesi yake.

1. JAJI KALIKAMAJENGA (Mwenyekiti)

Jaji na mteule wa Rais

2. DR FELESHI (Mjumbe)

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mteule wa Rais na ndiye mlalamikaji

3. DR. LONGOPA (Mjumbe)

Kaimu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mteule wa Rais.

4. MWAKITALU (Mjumbe)

Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali, Mteule wa Rais.

5. ADV VICTORIA MANDARI (Mjumbe)

Mwakilishi kutoka TLS

6. ADV FARAJI NGUKAH (Katibu)

Wakili Mwandamizi wa Serikali (Senior State Attorney)

Nimtakie kila la Kheri Wakili Mwabukusi katika safari yake ya kutetea leseni ya Uwakili.

View attachment 2705457


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nimewahi kuuliza jee vijana kama hawa hawapo Bongo tubadili historia?
View attachment 2705631
"Nimeona huo waraka (wa kushtakiwa kwenye Kamati ya Maadili ya Mawakili) , lakini niseme tu siogopi na sibabaishwi, kwa kuwa siishi kwenye vyeti. Sikuzaliwa kuwa Wakili lakini mimi ni mtanganyika. Haki yangu ya kuwa Mtanganyika haiwezi kuzuiwa au kudhibitiwa kupitia vyeti vya kitaaluma au kutishwa" Wakili Boniface Mwabukusi

20230802_004354.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hii kamati na muundo huu mawakili tutapukutika, hakuna kuikosoa serikali.
 
Back
Top Bottom