KING MAZENGO
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 755
- 200
Huu mwaka ndo kitaeleweka rasmi...!
Azam bado wapo hewani vizuri tu.Channel 10 wamekata matangazo wakati wa maswali.
Maudhui ya kikao ninini km anamuongelea jk Leo kipindi alipoteuliwa na jk mbona hakuwahi kusema bungeni????mnafiki kbsa
Azam bado wapo hewani vizuri tu.
acha wivu wewe gamba huu mwaka mshangao kama umekamatwa ugoni....tume ya uchaguzi kesho tunataka tamko.la sivyo mruhusu kampeni zipigwe usiku na mchana.mkilinyamazia hili msije kusema ccm wanafujo. Hizi ni rafu za wazi kabisa.