James Mbatia: UKAWA ipo imara, haitasambaratika, akerwa na kauli za Magufuli, CCM

Wataalamu wameshajumlisha safari zote za Rais wetu za kusafiri nje ya nchi tangu aingie madarakani na kupata JUMLA ya miaka 6 kati ya 10, inamaana Rais amekaa ndani ya nchi miaka 4.
Kama hili Lina ukweli nimeshangaa sana tena sana! Nimejiuliza aliyajuaje matatizo ya nchi yake?
Kama wewe ni kilaza na mkurupukaji unayehitaji kufikirishwa, utaamini hii stori!
INAWEZEKANAJE? hata mwaka mmoja ningehoji hw da fvck is it possible!
 
Mbona wagombea ni CCM A NA CCM B??

Au Mbatia amelisahau hilo?

Queen Esther

attachment.php


UPDATES:

Mbatia analalamikia vitisho vya Mgombea wa CCM, Magufuli kuwa wakiwachagua wapinzani nchi itaingia kwenye machafuko

Mbatia: Watu wameanza kupoteza maisha, wana UKAWA wanadhalilishwa na wengine kutekwa

Mbatia: Hali imeanza kuwa tete, vitisho vya kila aina vimeanza. Tumedhalilishwa sana, tumeitwa matusi ya kila aina.

Mbatia: Lowassa si mdini, alikuwa anataka watanzania wamwombee. Mhe. Lowassa hajaenda kwenye nguvu za giza. Hajatumia viungo vya albino, ameenda kuomba viongozi wa dini wamwombee; udini wake unatoka wapi?

Mbatia: Tunawashukuru Lowassa na Sumaye kwa nia zao njema kuja Upinzani kuongeza nguvu ili tuyafanye mabadiliko ya kweli

Mbatia: Hata CCM wangemweka malaika, si rahisi kupata mabadiliko bila kufanya mabadiliko ya mfumo.

Mbatia: CCM wanasema usichague chama, chagua mtu. Watanzania wanatakiwa kujua kuwa Magufuli ni CCM, na hawezi kujitenganisha na CCM. Huwezi kulisukuma gari ukiwa ndani yake, lazima utoke ndipo ulisukume. Mabadiliko ndani ya CCM hayawezekani

Mbatia: Tumefanya utafiti, tuna uhakika wa ushindi mwaka huu

Mbatia: Hatutawapa CCM nafasi ya kufanya machafuko ndani ya Taifa hili

Mbatia: CCM hawana hati miliki ya kuitawala Tanzania hii. Watupishe tufanye mabadiliko haya kwa utulivu na amani.

Mbatia: Sumaye, Lowassa wana uzoefu mkubwa wa kuongoza Serikali, uwezo tunao! Tunao kina Mungai, Msindai, Mgeja n,k na wanao uzoefu wa kuongoza Serikali.

Mbatia: Limeibuka suala la ukabila. Ni aibu iliyoje? CCM wanahubiri ukabila, ukanda bila aibu yoyote!

Mbatia: Ilani ya Uchaguzi ni mkataba kati ya mpiga kura na mpigiwa kura; tuwaulize CCM Ilani yao iliyopita imetekelezwa kwa kiasi gani kabla hawajaja na ilani mpya. UKAWA tunayo ilani ya pamoja

Mbatia: Tunawataka CCM waje tufanye midahalo kwa hoja

Mbatia: Wenyeviti wa vyama wawekwe kwenye midahalo ili UKAWA tupambane na CCM kwa hoja na watanzania wajue pumba na mchele

Mbatia: UKAWA ipo imara, haitasambaratika!

Mbatia anafafanua wapi watapata fedha za kufanikisha yale wanayoahidi kwenye kampeni.

Mbatia anadai Safari za Rais hazikuwa na tija kwa Taifa.

Mbatia: Lowassa na Serikali yake wakiingia madarakani wanao uwezo wa kupunguza kodi kwa wafanyakazi

Mbatia: Tukinyimwa haki yetu kwa mbinu chafu… Hatutaki kuona yaliyotokea Kenya yakitokea Tanzania

Prof. Baregu ametoa ufafanuzi juu ya gharama za safari za JK na athari zake kwa Taifa (pamoja na gharama za kuingilia shughuli za watendaji walio chini yake na kutokuwepo kwake nchini)

Shaweji Mketo (CUF) pia ameendelea kuongelea safari za JK na athari zake kwa Taifa; amegusia pia teuzi zilizofanywa jana na vikao vingine vya kiutendaji vinavyofanywa na Rais Kikwete nyakati hizi.

Mbatia kahitimisha kwa kusema "Tanzania bila CCM Inawezekana"

Asanteni
 
Nilikua namuheshimu baregu hivi unawezwaje kuandaa tathmimi mbovu hivi au ndiyo kukalia au kuzikodisha alkali kwa jambazi lowassa huku.
Safari za jk wakati wa kampeni inasaidia nini, kupoteza muda kumuongelea jk mtu ambaye tayari wananchi na chama chake chenyewe kimemtenga na kumchoka ni kupoteza muda tu na cheap propaganda za kuhadaa watu . Wangeongelea ilani yao lowassa aliyosema ipo kwa tovuti, wangeongelea na ahadi zao na summary ya kampeni mikoa yote waliyopita hadi sasa na watu wa ngapi, viongozi wa ngapi Mae neo hayo wamehamia ukawa, specifics za kampeni siyo upuuzi wa mtu anayeondoka na ambaye hata ikimuattack tayari watu wanamchukia na hupati extra points..
Mdahalo tu nahitaji lowassa awepo na magufuli siku ya mwisho Kabla ya kupiga kura.

Hata ukiacha kumuheshimu haina impact yoyote
 
Anaeshuka njiani hataombwa kurudi au kuingia ,kila mmoja ana uhuru wake wa kufuata chama atakacho na kujiunga apendako ,ikiwa kadondoka Slaa na Lipumba na mambo ndio yamezidi kunoga itakuwa huko kwa Mbatia na wengine ,vipo vyama ambavyo vinaendelea na msimamo na zaidi habali ya mujini na vijijini ni Lowasa.

CCM wanadhani wakiwanunua viongozi wananchi watabadili dira yao ya kutaka mabadiliko na badala yake kufuata chama cha CCM au sijui niseme Magufuli ,kwani sasa haijulikani Magufuli anaeleza ilani za CCM au Ilani zake au ananadi Chama chake au ananadi ubinafsi wake. ameshawatenga wenziwe sasa ni sera za Magufuli ,Tanzania ya Magufuli ,haya tumwache kama alivyo ,maana kacharuka hajui atendalo ,wananchi hawazifuata sera feki za magufuli aka CCM ,hawarudi nyuma,

Wameondoka akina Slaa ,sijui wasanii ila mambo yanazidi kunoga wanasema ngoma inogile ,yaani waondoke wote wananchi watachagua Jiwe na sio CCM na sera zao FEKI.
 
Waende zao... ccm haiwez nunua wananchi wapenda Tz na sisi hao ndo mtaji wetu... ukawa ndo sisi an sisi ndo ukawa... hao viongozi wa nccr hawazidi 10... kama wataamua kuuza utu wao powa tu.... mambo yote ya ukawa yanatakiwa yawekwe kwenye meza na si ya vyombo vya habari... wamenikera kumpa adui points za kuongea... malofa ndo sisi na wapumbavu ndo sisi wenyewe.... ushindi 2015 hauna pingamizi..... vichinjio ni vya moto kwenda uwa mnyama mkuu ccm comes oct 25th...
 
Kwanza viongozi wenyewe hata hawajulikani kabisa kwa Wananchi. Mimi nilikuwa namfahamu tu Katibu wao mkuu, ambaye hata hivyo hana influence yoyote kubwa katika siasa za Tanzania. Viongozi wengine wale pamoja na makamu mwenyekiti hata siwafahamu kabisa, na ndio mara ya kwanza kuwasikia. Kama alivyosema Gwajima, Dr.Slaa ndiye ilikuwa silaha yao ya mwisho. Wengine hawo ni kupoteza muda na resources zao
 
Ila wasiondoke au kununuliwa kwa dau dogo ,yaani angalao wafike milioni 70 au hata 50 ,chini ya hapo ni wale wanaodharauliwa ambao hata kwa 20000 wanauza utu wao,
 
Alikuwa anaongea kama anaongea na watoto wake. Huyu jamaa nilikuwa namheshimu sana lakini hotuba yake jana nimemdharau saaaana. Eti anataka mdahalo na mwenyekiti wa ccm na wa ukawa, shame on him, tangu lini ukawa ikawa chama.....bila aibu anasema kuna ukawa aina tatu....hii imethibitisha kama alivyosema mzee warioba ukawa wamepoteza uelekeo na maelengo yao ya awali na zilizobaki ni ghiliba tu kwa watanzania.

Anasema wamefanya utafiti kwamba wanashinda uchaguzi, watueleze utafiti ulifanywa na nani na lini na matokeo yake ni yapi?


waulize twaweza kwanza? K..nge we
 
attachment.php


UPDATES:

Mbatia analalamikia vitisho vya Mgombea wa CCM, Magufuli kuwa wakiwachagua wapinzani nchi itaingia kwenye machafuko

Mbatia: Watu wameanza kupoteza maisha, wana UKAWA wanadhalilishwa na wengine kutekwa

Mbatia: Hali imeanza kuwa tete, vitisho vya kila aina vimeanza. Tumedhalilishwa sana, tumeitwa matusi ya kila aina.

Mbatia: Lowassa si mdini, alikuwa anataka watanzania wamwombee. Mhe. Lowassa hajaenda kwenye nguvu za giza. Hajatumia viungo vya albino, ameenda kuomba viongozi wa dini wamwombee; udini wake unatoka wapi?

Mbatia: Tunawashukuru Lowassa na Sumaye kwa nia zao njema kuja Upinzani kuongeza nguvu ili tuyafanye mabadiliko ya kweli

Mbatia: Hata CCM wangemweka malaika, si rahisi kupata mabadiliko bila kufanya mabadiliko ya mfumo.

Mbatia: CCM wanasema usichague chama, chagua mtu. Watanzania wanatakiwa kujua kuwa Magufuli ni CCM, na hawezi kujitenganisha na CCM. Huwezi kulisukuma gari ukiwa ndani yake, lazima utoke ndipo ulisukume. Mabadiliko ndani ya CCM hayawezekani

Mbatia: Tumefanya utafiti, tuna uhakika wa ushindi mwaka huu

Mbatia: Hatutawapa CCM nafasi ya kufanya machafuko ndani ya Taifa hili

Mbatia: CCM hawana hati miliki ya kuitawala Tanzania hii. Watupishe tufanye mabadiliko haya kwa utulivu na amani.

Mbatia: Sumaye, Lowassa wana uzoefu mkubwa wa kuongoza Serikali, uwezo tunao! Tunao kina Mungai, Msindai, Mgeja n,k na wanao uzoefu wa kuongoza Serikali.

Mbatia: Limeibuka suala la ukabila. Ni aibu iliyoje? CCM wanahubiri ukabila, ukanda bila aibu yoyote!

Mbatia: Ilani ya Uchaguzi ni mkataba kati ya mpiga kura na mpigiwa kura; tuwaulize CCM Ilani yao iliyopita imetekelezwa kwa kiasi gani kabla hawajaja na ilani mpya. UKAWA tunayo ilani ya pamoja

Mbatia: Tunawataka CCM waje tufanye midahalo kwa hoja

Mbatia: Wenyeviti wa vyama wawekwe kwenye midahalo ili UKAWA tupambane na CCM kwa hoja na watanzania wajue pumba na mchele

Mbatia: UKAWA ipo imara, haitasambaratika!

Mbatia anafafanua wapi watapata fedha za kufanikisha yale wanayoahidi kwenye kampeni.

Mbatia anadai Safari za Rais hazikuwa na tija kwa Taifa.

Mbatia: Lowassa na Serikali yake wakiingia madarakani wanao uwezo wa kupunguza kodi kwa wafanyakazi

Mbatia: Tukinyimwa haki yetu kwa mbinu chafu… Hatutaki kuona yaliyotokea Kenya yakitokea Tanzania

Prof. Baregu ametoa ufafanuzi juu ya gharama za safari za JK na athari zake kwa Taifa (pamoja na gharama za kuingilia shughuli za watendaji walio chini yake na kutokuwepo kwake nchini)

Shaweji Mketo (CUF) pia ameendelea kuongelea safari za JK na athari zake kwa Taifa; amegusia pia teuzi zilizofanywa jana na vikao vingine vya kiutendaji vinavyofanywa na Rais Kikwete nyakati hizi.

Mbatia kahitimisha kwa kusema "Tanzania bila CCM Inawezekana"

Asanteni

Haka kajamaa nadhani kangejiandaa tu na za uso katakazopewa na Mrema vunjo, then kasubiri tena Magufuli akateuwe ubunge viti maalum-Rais.
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom