Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
katika hali inayoonesha kufilisika kisiasa na kutumika na chama cha mapinduzi, bwana mdogo James Mbatia amesikika akikosoa kwa mtindo wa mafumbo waheshimiwa wabunge wanaoichagiza serikali huku akitumia maneno kama "wanapandikiza chuki". Bila kutaja ni chuki gani wala kutaja ni wabunge gani hao, Mbatia, aliyepewa air time ya kutosha na TBC kwa ajili ya kumwaga upupu huo hakuwa na la maana la kuzungumza zaidi ya kuishia kulalamika na kukashifu.
my take:
Tumekusikia bwana mbatia; hao unaowaona hawafai sisi ndiyo tunawataka na tutaendelea kuwachagua daima kwa sababu hawana mabo ya kishosti-shosti.
my take:
Tumekusikia bwana mbatia; hao unaowaona hawafai sisi ndiyo tunawataka na tutaendelea kuwachagua daima kwa sababu hawana mabo ya kishosti-shosti.