Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
"Huyu amemwaga damu, huyu yupo gerezani kina Tundu Lissu wapo gerezani wana wafuasi. Kila siku hamaki inatokea Juzi hapa tumeona mchungaji Gwajima matatizo yemapata ya kusema, hofu imetokea kanisa limefungiwa. Sasa huyu ni mtu mmoja aliyekosea kama Gwajima sasa unamfungia yeye kama yeye kama amekosea kweli ama unalifungia kanisa lake? Hizo ndizo athari za hofu za kutokuwa na utulivu wa fikra na kufanya maamuzi yaliyo sahihi" James Mbatia