Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Tunamsubiri kwenye kura za maoni
Ushahidi mwingine wa mgomo wa madaktari kuwa unaendelea ni maamuzi ya serikali ya Kenya kuwarudisha majeruhi wa ajari ya basi Nairobi haraka sana juzi. wangefia moi wote.
aitaka serikali ishuhulikie matatizo isikimbilie mahakamani, migomo bado ipo
asema haiwezekani baba kugombana na mama na watoto halafu akawa wa kwanza kukimbilia polisi
Asema ukificha maradhi kifo kitakuumbua, migomo bado inaendelea
Adai nchi hii siyo tena na wakulima na wafanyakazi, ni ya wafanyabiashara, matapeli na wahuni
Awaonya wabunge wanaoponda walimu kugoma kwamba wakirudi majimboni kwao wataongea na nani
Aisuta serikali kwa nini haipeleki wabunge mahakamani kwa kudai posho zaidi
Nilivyomsikia yule mama wa kwanza analopoka tu nikazima tv, alinikera kweli sijui kwa walimu waliokuwa wanamwangalia ilikuwajeLembeli kafunguka! Nilitamani wabunge wote wawe wakweli na kuacha unafiki. Nimewasikia wabunge wawili wanawake ambao wamejinadi kuwa walikuwa waalimu eti wanawaponda wenzao kwa kugoma! Kilichowafanya wakakacha ualimu ni nini kama si kutafuta maslahi? Wameniboa sana maana walikuwa wanachangia kwa unafiki wa hali ya juu kupalilia posho zao za bungeni.
Jamani mzee Lembeli nitakuunga mkono daima. Kwakuwa umekua sauti ya wanyonge Mungu atakulipa mara dufu. Ni kweli migomo sasa imeongezeka! Hatuna tena uchungu na serikali hii ambayo imeamua kutukomoa hata sensa tu wametuondoa walimu.
Wito wangu kwa walimu sasa tuagane na serikali ya chama hiki cha zamani. Bora waje na wengine wajaribu kutunyanyasa upya kuliko hili bedui ccm na majitu Yake. Wabunge wa ccm wanaponda mgomo wetu wanadhani tunalipwa hata moja ya kumi ya wanachopata? Amini nawaabieni saa yaja nayo haiko mbali sana what watakapokuja tena kwetu na maneno yao ya wema tutawakumbusha unyama huu wanaotutenda.
Nitawapinga kwa nguvu zangu zote,najua ninao rafiki wapatao3 ninao wamudu nitawashawishi waniunge mkono, vipindi vyangu vyote nimeongeza segment ya elimu ya uraia kwa wanafunzi humo nitafundisha mengi juu ya vile mlipoifikisha nchi hapa kwa kuiba raslimali zake huku wao(watoto) hawana hata madawati. Ikiwa mtashinda kwa hila zenu amini nawaabieni mtaapishana huku mikono yenu ikiwa imeloa hatia.
Mungu atusaidie. Na amekiona kilio chetu sasa ameamua kutuokoa kupitia shibe yenu ya madaraka
Ushahidi mwingine wa mgomo wa madaktari kuwa unaendelea ni maamuzi ya serikali ya Kenya kuwarudisha majeruhi wa ajari ya basi Nairobi haraka sana juzi. wangefia moi wote.
Huyo ni mbunge wa CCM ama Chadema?
Huyo ni mbunge wa CCM ama Chadema?
aitaka serikali ishuhulikie matatizo isikimbilie mahakamani, migomo bado ipo
asema haiwezekani baba kugombana na mama na watoto halafu akawa wa kwanza kukimbilia polisi
Asema ukificha maradhi kifo kitakuumbua, migomo bado inaendelea
Adai nchi hii siyo tena na wakulima na wafanyakazi, ni ya wafanyabiashara, matapeli na wahuni
Awaonya wabunge wanaoponda walimu kugoma kwamba wakirudi majimboni kwao wataongea na nani
Aisuta serikali kwa nini haipeleki wabunge mahakamani kwa kudai posho zaidi
Mgomo wa walimu haujaanza leo, tangu mimi niko primary mgomo ulikuwepo. Haujawahi kuwa official tu, na hii ndio inaua elimu yetu.
Huyo ni mbunge wa CCM ama Chadema?
Mkuu ulikuwa primary tangia mwaka jana nini?
haswa, anapaswa kujivua gamba.