Lembeli aichana serikali kuhusu migomo ya walimu na madaktari

Mtego wa Noti

JF-Expert Member
Nov 27, 2010
2,591
1,599
Akichangia bungeni leo, bila woga amesema seikali inachokifanya siyo sawa kwa kuwanyanyasa walimu kwa kuwapeleka mahakamani na kutojali maisha yao hasa suala la mishahara yao mibovu la laki 2 na nusu. amesema serikali inajifurahisha eti mgomo umeisha na wakati mgomo uko palepale maana walimu mpaka sasa hawafundishi.
Bila kumung'unya maneno amesema hii nchi siyo ya wakulima na wafanyakazi tena, amesema ni ya wahuni tu!!! pia amesema kama wabunge ambao wana maposho mengi na bado wanalalamika, je, walimu hawana haki ya kudai nyongeza kwenye mishahara yao?
Amekemea mtindo wa serikali kukimbilia mahakamani kuwashtaki walimu akisema ni sawa na baba anagombana na mke wake na watoto halaf anakimbilia polisi kuwashitaki polisi.
Amesema serikali isicheze na walimu wala madaktari mana ndio walioiwek madarakani na huenda wakaendelea kugoma mpaka 2015 iwapo mambo yao hayatatekelezwa
Nawasilisha!
 
Akichangia bungeni leo, bila woga amesema seikali inachokifanya siyo sawa kwa kuwanyanyasa walimu kwa kuwapeleka mahakamani na kutojali maisha yao hasa suala la mishahara yao mibovu la laki 2 na nusu. amesema serikali inajifurahisha eti mgomo umeisha na wakati mgomo uko palepale maana walimu mpaka sasa hawafundishi.
Bila kumung'unya maneno amesema hii nchi siyo ya wakulima na wafanyakazi tena, amesema ni ya wahuni tu!!! pia amesema kama wabunge ambao wana maposho mengi na bado wanalalamika, je, walimu hawana haki ya kudai nyongeza kwenye mishahara yao?
Amekemea mtindo wa serikali kukimbilia mahakamani kuwashtaki walimu akisema ni sawa na baba anagombana na mke wake na watoto halaf anakimbilia polisi kuwashitaki polisi.
Amesema serikali isicheze na walimu wala madaktari mana ndio walioiwek madarakani na huenda wakaendelea kugoma mpaka 2015 iwapo mambo yao hayatatekelezwa
Nawasilisha!

Well spoken James Lembeli; way to go!
nimezipenda hizi;
1. Waziri akisimama hapa atwambie je Tanzania ni nchi ya nani maana inaonekana sio nchi ya wakulima na wafanyakazi tena!!
2. Serikali kuwashitaki mahakamani walimu ni sawa na baba kugombana na baba kugombana na mke na watoto kisha akakimbilia mahakamani kutafuta suluhu!
3. Kama sisi wabunge kila siku tunalalama tuongezewe posho iweje walimu wakidai nyongeza wapelekwe mahakamani!? mbona wabunge hawajapelekwa mahakamani!?
4. walimu, wakulima na madaktari wasibezwe, wasipuuzwe; wasikilizwe maana ni wao waliotufikisha hapa tulipo (mjengoni).
5. Serikali inatamba eti mambo sasa shwari, walimu na madaktari wamerudi kazini; sio kweli wapo lakini hawafanyi kazi! serikali inajidanganya.

Kudos James Lembeli; Truth is devine and has no ideology.
 
LEMBELI Maneno aliyosema hayana unafiki na yametoka moyoni,WATU WAMECHOKA,UGANDA ENZI ZA IDD AMIN WALICHOKA, NAYE ALITUMIA NGUVU ZA DOLA KUPITA KIASI,MAjesh ya TZ Yalipoingia Uganda wananch walisaidia kuonyesha askali wao walipo wakiita majeshi ya UKOMBOZ.I.watanzania wanaweza kuwaunga mkono wamalawi pia kama njia ya ukomboz.
 
Well spoken for sure Lembeli, maana bila walimu wengi wetu tusingekuwa hapa tulipo..!
Madai ya walimu ni ya msingi sana, wanastahili kuongezewa kipato na kuboreshewa makazi na mazingira ya kazi.
 
LEMBELI Maneno aliyosema hayana unafiki na yametoka moyoni,WATU WAMECHOKA,UGANDA ENZI ZA IDD AMIN WALICHOKA, NAYE ALITUMIA NGUVU ZA DOLA KUPITA KIASI,MAjesh ya TZ Yalipoingia Uganda wananch walisaidia kuonyesha askali wao walipo wakiita majeshi ya UKOMBOZ.I.watanzania wanaweza kuwaunga mkono wamalawi pia kama njia ya ukomboz.

Hii kali ya malawi tena!
 
Akichangia bungeni leo, bila woga amesema seikali inachokifanya siyo sawa kwa kuwanyanyasa walimu kwa kuwapeleka mahakamani na kutojali maisha yao hasa suala la mishahara yao mibovu la laki 2 na nusu. amesema serikali inajifurahisha eti mgomo umeisha na wakati mgomo uko palepale maana walimu mpaka sasa hawafundishi.
Bila kumung'unya maneno amesema hii nchi siyo ya wakulima na wafanyakazi tena, amesema ni ya wahuni tu!!! pia amesema kama wabunge ambao wana maposho mengi na bado wanalalamika, je, walimu hawana haki ya kudai nyongeza kwenye mishahara yao?
Amekemea mtindo wa serikali kukimbilia mahakamani kuwashtaki walimu akisema ni sawa na baba anagombana na mke wake na watoto halaf anakimbilia polisi kuwashitaki polisi.
Amesema serikali isicheze na walimu wala madaktari mana ndio walioiwek madarakani na huenda wakaendelea kugoma mpaka 2015 iwapo mambo yao hayatatekelezwa
Nawasilisha!

Walimi wanaweza kuwa na maamuzi ya ajabu 2015. Just imagine kila mwalimu akitafuta wapiga kura 100 vijijini!!!!! Na wa mjini 100! Kitatokea nini!
 
Wabunge wa CCM siyo wa kuwaamini hao mdau!Mwisho wa kuchangia kwake hajasema anaunga mkono hoja 100%?
 
Wabunge wa CCM siyo wa kuwaamini hao mdau!Mwisho wa kuchangia kwake hajasema anaunga mkono hoja 100%?
naona hajaunga hoja kabisa...nadhani anaweza akawa tofauti na magamba wengine wanaobwabwaja na mwisho wake wanaunga mkono hoja kwa zaidi ya 200%
 
Walimu wanahitaji kuishi vizuri including maboresho ya sehemu wanazofanyia kazi ili kuokoa elimu ya nchi yetu ambayo iko mahututi bin taaban.
 
Well spoken for sure Lembeli, maana bila walimu wengi wetu tusingekuwa hapa tulipo..!
Madai ya walimu ni ya msingi sana, wanastahili kuongezewa kipato na kuboreshewa makazi na mazingira ya kazi.

Lembelli anaujumbe mzito hasa anaposema bila waalimu wabunge wa ccm wasingekuwa hapo maana yake ni kwamba; waalimu walishiriki kwa kiwango kikubwa kuiba kura kwa ajili ya ccm, sasa wanadai kuwa tunawasubiri ccm 2015 nani atawasaidia kuiba kura???
 
Back
Top Bottom