Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Akichangia bungeni leo, bila woga amesema seikali inachokifanya siyo sawa kwa kuwanyanyasa walimu kwa kuwapeleka mahakamani na kutojali maisha yao hasa suala la mishahara yao mibovu la laki 2 na nusu. amesema serikali inajifurahisha eti mgomo umeisha na wakati mgomo uko palepale maana walimu mpaka sasa hawafundishi.
Bila kumung'unya maneno amesema hii nchi siyo ya wakulima na wafanyakazi tena, amesema ni ya wahuni tu!!! pia amesema kama wabunge ambao wana maposho mengi na bado wanalalamika, je, walimu hawana haki ya kudai nyongeza kwenye mishahara yao?
Amekemea mtindo wa serikali kukimbilia mahakamani kuwashtaki walimu akisema ni sawa na baba anagombana na mke wake na watoto halaf anakimbilia polisi kuwashitaki polisi.
Amesema serikali isicheze na walimu wala madaktari mana ndio walioiwek madarakani na huenda wakaendelea kugoma mpaka 2015 iwapo mambo yao hayatatekelezwa
Nawasilisha!
Bila kumung'unya maneno amesema hii nchi siyo ya wakulima na wafanyakazi tena, amesema ni ya wahuni tu!!! pia amesema kama wabunge ambao wana maposho mengi na bado wanalalamika, je, walimu hawana haki ya kudai nyongeza kwenye mishahara yao?
Amekemea mtindo wa serikali kukimbilia mahakamani kuwashtaki walimu akisema ni sawa na baba anagombana na mke wake na watoto halaf anakimbilia polisi kuwashitaki polisi.
Amesema serikali isicheze na walimu wala madaktari mana ndio walioiwek madarakani na huenda wakaendelea kugoma mpaka 2015 iwapo mambo yao hayatatekelezwa
Nawasilisha!