James Lembeli apasua jipu migomo ya walimu na madaktari

Mara baada ya kutokea ajali, rais Kibaki alituma ndege ya kijeshi kuchukua majeruhi wote na maiti haraka sana kuwarudisha kenya.

Kweli Tanzania tumeshoka kwa kila kitu, ni aibu hata kusimulia.
 
Watu mojamoja kama hao ndio wameifikisha ccm hapa maana huenda hata isingalifika. Lakini tunampa excuse mpaka tar 31 oct 2015 awe amehama maana atabaki pekeyake.
 
Watu mojamoja kama hao ndio wameifikisha ccm hapa maana huenda hata isingalifika. Lakini tunampa excuse mpaka tar 31 oct 2015 awe amehama maana atabaki pekeyake.

lembeli ni chadema 2015 subiri utaona .
 
Back
Top Bottom