Mimi kila siku saa 12 asubuhi napata subscription ya magazetini kwa Mirlad ayo blog, lakini bila kuingia kwenye website kama ya mwananchi na kuisoma habari kwa kina au bila kununuwa hard copy na kuisoma habari kwa kina, kiukweli siwezi kuileta hapa, maana nawajuwa vizuri waandishi wetu na heading zao.
Nakuunga Mkono na miguu, mfano gazeti la uhuru la leo lina heading Wabunge wa Cuf wagomea Ukuta, ukiisoma habari ndani inasema wabunge wa Cuf Zanzibar ambao hawakupenda kuandikwa majina yao gazetini.
Ukizirudisha akili zako vyema unapata Jibu kwamba malengo ya gazeti letu la chama lilikuwa nini.