Jambo leo: Muuaji wa Polisi Mbande ajulikana

Jambo leo: Muuaji wa Polisi Mbande ajulikana

Acha kuwa mpuuzi sema tu hii habari hujaipenda vinginevyo waambie wenye TV waache kutusoma heading za magazeti.
Kwahiyo na wewe umeokota hizo heading huko ukatuletea humu ndio thread yako hiyo? Kwanini usipate habari kamili ndio ukaja kufungua thd humu? Au uliona utachelewa na wenzako watakuwahi?

Hii ndio JF ya siku hizi aisee!
 
Ha aha aha nakutambua vema kijana wa SAUT-2009...! Kaa unaropoka ukijua unabainika.

Nabainika kwani umeambiwa Mimi ni WANTED? Basi naona kama vile UMETUMWA hivyo kama vipi wape TAARIFA zangu ili upandishwe CHEO kwani yawezekana umekitafuta CHEO awamu hii ya Msubi na umeambulia PATUPU hivyo unahangaika KUJIPENDEKEZA. Endelea tu " kujitanguliza " Kijana labda ukidhani Wewe hujulikani. Mwambie huyo aliyekupa details zangu akupe na ZINGINE kwani naona kama vile AMEZISAHAU. Hivi unaweza kunijua halafu Mimi NISIKUJUE? Jipe moyo tu Mkuu na endelea KUJIFURAHISHA na KUJIFARIJI.
 
Hizo ni characteristics za Mtu mbea mbea ambaye huwahi tu kukurupuka kusema au kuleta kitu pasipo hata kukijazia nyama ila Mtu serious huanzisha kitu / jambo na hukiweka chote au hukijazia ili kuleta maana kwa wengine. Watu wengine bhana.....!
basi na magu ana hiz sifa
 
basi na magu ana hiz sifa

Kijana angalia hilo jina siku hizi halitajwi tajwi hovyo na kwa dharau za aina hiyo. Shauri yako wenzako kama nane ( 8 ) hivi sasa wapo " himayani " kwa upuuzi upuuzi wa aina kama yako hii. au unadhani kuwepo huko ng'ambo ndiyo hutojulikana au kupatikana? Kuwa makini sana Kijana UBATIZO wa sasa ni wa MOTO na siyo tena ule wa MAJI mliouzoea. Nimemaliza!
 
Kwahiyo na Wewe ni TV yetu sisi Wana JF humu? Bora Mimi Mpuuzi ila Wewe ni **** lililotukuka.

Yaani wewe kama unasema @salary sleep ni mpumbavu aliyetukuka, ni kwa sababu tu @gentamicyne hujitambui. Ungelkuw aunajitambua, bila shaka hata kukaa na watu usingekuwa unathubutu kwa vile kichwa chako kimejaa m.a.v.i.
 
Kijana angalia hilo jina siku hizi halitajwi tajwi hovyo na kwa dharau za aina hiyo. Shauri yako wenzako kama nane ( 8 ) hivi sasa wapo " himayani " kwa upuuzi upuuzi wa aina kama yako hii. au unadhani kuwepo huko ng'ambo ndiyo hutojulikana au kupatikana? Kuwa makini sana Kijana UBATIZO wa sasa ni wa MOTO na siyo tena ule wa MAJI mliouzoea. Nimemaliza!

Kama kalitaja bure jina la mungu wako, na unajua huyo ni mungu kwako kwamba anauwezo wote, na kwamb umechukizwa sana mungu wako kutajwa bure, si umwache huyo mungu wako ajisimamie? Kwa nini unamsaidia? Nilidhani akiadhibiwa huyu anayemtaja bure mungu wako, utaburudika sana moyoni. Sasa unamwonya ili asiadhibiwe? Kisasi chako utakilipa vipi kama hataadhibiwa?

Abudu mungu wako salama. Mimi na nyumba yangu, tutamwabudu na kumtumikia Mungu wa Mbinguni.
 
Kijana angalia hilo jina siku hizi halitajwi tajwi hovyo na kwa dharau za aina hiyo. Shauri yako wenzako kama nane ( 8 ) hivi sasa wapo " himayani " kwa upuuzi upuuzi wa aina kama yako hii. au unadhani kuwepo huko ng'ambo ndiyo hutojulikana au kupatikana? Kuwa makini sana Kijana UBATIZO wa sasa ni wa MOTO na siyo tena ule wa MAJI mliouzoea. Nimemaliza!
wapiii. Malaika mkuu mwenyewe anangwaya. Mnaviherehere hili mradi tu mkono ufike kinywani.

Haya nipe buku hapo ubaki na buku sita magwangala wewee
 
Ha ha haaaa ila hata mi cjapenda hata kidogo yaan kutoa habari ya kitoto humu,,,,,,, aaaah yuko wapi sasa muuaji.
 
Back
Top Bottom