Nawasalimu wote
Mimi ni mtoto wa Congo, swahili yetu na ya Tanzania si sawa ila nafikiri tutasikilizana.
Nawatakiya wote mwaka mpya 2011
Baelezee juu ya nini papaaaaNawasalimu wote
Mimi ni mtoto wa Congo, swahili yetu na ya Tanzania si sawa ila nafikiri tutasikilizana.
Nawatakiya wote mwaka mpya 2011
karibu sana mkuu lakini upo Congo au kwa sasa upo Milton Keynes
Nawasalimu wote
Mimi ni mtoto wa Congo, swahili yetu na ya Tanzania si sawa ila nafikiri tutasikilizana.
Nawatakiya wote mwaka mpya 2011
bileee! Nimefurahika sana na moyo kutingizika kupata mutu ya fasi ya congo, nalitumikaga na batu ba baraka, uvira na bujimai. Vipi techno malewa bado iko julu? Ukikuya usisahau selemomaa, salimia tatee, mamaaa na batoto bote. Karibu siku ya bonanee.