KAFA.cOm
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 1,301
- 741
Habarini wa MMU
mwaka umeisha sasa...kama ilivyo kawaida kila mtu mwaka huu kapitia changamoto mbalimbali...ingekuwa ni vyema sana kama kila mmoja wetu tungetumia thread hii....ku share changamoto kubwa zaidi aliyokutana nayo mwaka huu...kwa kiasi fulani inaweza kuwa fundisho kwa wenzetu..
Kwa upande wangu huu mwaka naweza kusema ni mwaka ambao ni mbaya zaidi maishani mwangu....nilikumbana na matatizo ambayo hayaendani na umri wangu kabisa nimezaliwa 1996 tu....mwaka huu nilikumbana na msala wa kumpa mimba mwanafunzi mwenzagu aise nilichanganyikiwa sana kwa sababu nilikuwa form 6 nakaribia necta....kwa msongo wa mawazo ulionikumba ilinibidi nivute hadi bange ambayo kiukweli ilinisaidia sana...huu msala ulisha baada ya kupata ushauri hapa hapa jf...nilileta thread Mrejesho: Nimempa ujauzito mwanafunzi mwenzangu, naomba ushauri
Licha ya kejeli ila nilifata ushauri nilioupewa kuwa nimchukue binti nimpeleke home ambako ndo yupo hadi sasa hivi....msala mwingine unaoniumza kichwa hadi sasa hivi ni ofisini nilipokuwa nafanya kazi baada ya kumaliza form 6 nilipoteza million 10...yaani mpaka sasa sielewi ile hela ilienda wapi..boss wangu hadi leo anaamini nilichukua hiyo hela wakati sio....
Nuksi nyingine mwaka huu nikuvamiwa home na vibaka waliniibia vitu vyangu vya thamani thamani nimeripoti police ila hadi leo sijaona respond yoyote...
Baraka nilizopata mwaka huu ni nyingi pia namshukuru mungu sana kwa hili kwani binti alijifungua salama na sasa nina mtoto wa kiume(ZAWADI KUBWA ZAIDI MAISHANI MWANGU )huwa nikikaona kana tabasam nkikumbuka kalivyokuwa kanataka kutupwa chooni ili mama ake asome naona aibu sana...
Merry xmass MMU
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
mwaka umeisha sasa...kama ilivyo kawaida kila mtu mwaka huu kapitia changamoto mbalimbali...ingekuwa ni vyema sana kama kila mmoja wetu tungetumia thread hii....ku share changamoto kubwa zaidi aliyokutana nayo mwaka huu...kwa kiasi fulani inaweza kuwa fundisho kwa wenzetu..
Kwa upande wangu huu mwaka naweza kusema ni mwaka ambao ni mbaya zaidi maishani mwangu....nilikumbana na matatizo ambayo hayaendani na umri wangu kabisa nimezaliwa 1996 tu....mwaka huu nilikumbana na msala wa kumpa mimba mwanafunzi mwenzagu aise nilichanganyikiwa sana kwa sababu nilikuwa form 6 nakaribia necta....kwa msongo wa mawazo ulionikumba ilinibidi nivute hadi bange ambayo kiukweli ilinisaidia sana...huu msala ulisha baada ya kupata ushauri hapa hapa jf...nilileta thread Mrejesho: Nimempa ujauzito mwanafunzi mwenzangu, naomba ushauri
Licha ya kejeli ila nilifata ushauri nilioupewa kuwa nimchukue binti nimpeleke home ambako ndo yupo hadi sasa hivi....msala mwingine unaoniumza kichwa hadi sasa hivi ni ofisini nilipokuwa nafanya kazi baada ya kumaliza form 6 nilipoteza million 10...yaani mpaka sasa sielewi ile hela ilienda wapi..boss wangu hadi leo anaamini nilichukua hiyo hela wakati sio....
Nuksi nyingine mwaka huu nikuvamiwa home na vibaka waliniibia vitu vyangu vya thamani thamani nimeripoti police ila hadi leo sijaona respond yoyote...
Baraka nilizopata mwaka huu ni nyingi pia namshukuru mungu sana kwa hili kwani binti alijifungua salama na sasa nina mtoto wa kiume(ZAWADI KUBWA ZAIDI MAISHANI MWANGU )huwa nikikaona kana tabasam nkikumbuka kalivyokuwa kanataka kutupwa chooni ili mama ake asome naona aibu sana...
Merry xmass MMU
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
