mapema tuu...SHILAWAJAWabongoo bhna.. yanii hili naloo mshalianzishia Uziiii????

mapema tuu...SHILAWAJAWabongoo bhna.. yanii hili naloo mshalianzishia Uziiii????

Ipo down sehemu kubwa ya dunia...
Ila kwangu kuna mtu nimemtumia tusi kwenye WhatsApp kutest tu kama kweli ipo down, kitu deliverd, seen and read... Naona hapa... Typing....
Cc: mahondaw




Mambo
project ya wachina wamelipwa hela nyingi sana