Jamani whatsup imeondoka na 2017?

Jamani whatsup imeondoka na 2017?

Me mbona natumia na mda huu nimemtext mtu imeenda labda waseme kwa watumiaji wa techno
 
Kama unatumia simu ya techno leo ndo cku yenu ya mwisho kutumia what's app
 
Wasap hakuna ujumbe ambao unaingia kwa sasa sijui ndio mtandao unasumbua au?
 
Back
Top Bottom