Hahaa haaahTupo Wengi Kumbe Bass Sio Mbaya
Waiter Zungusha Tena Bapa Na Konyagi Hapa

Hahaa haaahTupo Wengi Kumbe Bass Sio Mbaya
Waiter Zungusha Tena Bapa Na Konyagi Hapa

Hahahaaaa mm nilijua bando limekata buanaaMi nilidhani simu yangu ndio ina tatizo
Kwangu bdo mizinguoIshaanza kufanya kazi now naona message znaingia kwa fujo
MamboNdo washazima TZ Mange si alishasema? Bado kuzima Internet tuu wote tunabaki na ndio mzee.
Hehehee don't rely on Kasie she is Matata.
Labda utakuwa Naliendele au Nanjilinji...Wana jamii forum mmegundua kuwa tokea saa tatu usiku huu whatsup haifanyi kazi? What is happening?
Nilikua na mpango nikitoka jf, nikaifute niinstall upya. Kabla sijatoka jf nakutana na post yako, shukrani sana kwa taarifa hiiHahahaaaa mm nilijua bando limekata buanaa
Cm zenu mbovu