Jamani whatsup imeondoka na 2017?

Jamani whatsup imeondoka na 2017?

Kwenye mtandao wa www.mirror.co.uk walireport tarehe 31.12.2017 WhatsApp haitapatikana baadhi ya simu kutokana na maboresho.Na kuanzia mwaka mpya simu zote aina ya BlackBerry na Microsoft window 8 hazitaweza kupata huduma ya WhatsApp.
 
Whatsaap nao
[HASHTAG]#watubu[/HASHTAG] tu ..hakuna namna
 
Njema kabisa, heri ya mwaka mpya ila kama upo upande wa mashariki mwa dunia...

Nashukuru, heri ya mwaka mpya kwako pia. Nipo upande huo huo kwa siku mbili hizi, kabla ya wikiendi ijayo ntakuwa kusini mwa dunia.

Nakudai msuba ujue.... umevuka mwaka na deni hehehe na ile chocolate pia....
 
Nashukuru, heri ya mwaka mpya kwako pia. Nipo upande huo huo kwa siku mbili hizi, kabla ya wikiendi ijayo ntakuwa kusini mwa dunia.

Nakudai msuba ujue.... umevuka mwaka na deni hehehe na ile chocolate pia....
Hahah msuba sijui kama utapata...chocs zako i wish nikuletee hata kesho nifute hilo deni kabla 2018 haijachanganya...
 
Kweli Mkuu wengine wetu bado sana
Happy New Year 2018!!
Hahah...yeah...trying to imagine some dudes in the west coast au kule Hawaii, sasa hivi ndio kwanza hata jua halijatua...

Meanwhile vijitu vifupi huko Japan, Tonga, Fiji, Kiribati etc vishaamka asubuhi ya kwanza ya Jan 1 2018
 
Hahah...yeah...trying to imagine some dudes who are in west coast au kule Hawaii, sasa hivi ndio kwanza hata jua halijatua...

Meanwhile vijitu vifupi huko Japan, Tonga, Fiji, Kiribati etc vishaamka asubuhi ya kwanza ya Jan 1 2018
Happy New Year chalii angu
 
Hahah msuba sijui kama utapata...chocs zako i wish nikuletee hata kesho nifute hilo deni kabla 2018 haijachanganya...

Hehehehhee sasa msuba ndo muhimu kuliko hata chocs, anyways am grateful for what is available.

Karibu sana nitafurahi nikizipata kesho zisindikize chai yangu ya saa kumi jioni.
 
Serekali iliweka kibano cha mda kuzuia uzushi ambao ungetokea ktk chati chati za whatsapp. Nervous governments do this all the time.
 
Whatssap ilipaya kigugumizi wskati ule nchi za Asia zilipokuwa zinasherehekea mwaka mpya. Nchi hizo kwa ujumla wake zina zaidibya 70% ya watuamiaji was whatsaap, hivyo mtandao ulipata overload ila sasa ni shwari wameshalala...
 
Back
Top Bottom