Kwangu pia imedinda.

Kwangu pia imedinda.

Wamesha shughulia tatizo,msg zimeanza kuingia kwenye cmMimi nilijua ttcl 3g yake ipo jf tu WhatsApp haotumii.
Zima washa data kumbe ni server zao wenyewe... pumbavu imerud sasa
Ngoja tusubiri.Nadhan watakuwa wanaweka mambo sawa
Ndio mkuu nimeona piaHuduma ya WhatsApp imerejea muda huu
saw sawUpdate wasup4.2018
Njoo pm nikupe code za kuifanya itumikejamani me na whatsapp gb bado zinagoma
Sio Sasa hiv mi kwangu haijagoma ata kidogo, mda wote nilikuwa huko nachat na mtu.Imeanza kufanyakazi sasa hivi
NdioMkuu unatumia whatsapp official version au hizi zingine?
Jamaa wanatengeneza Hela si mchezo aisee![]()
Nadhani nitatizo kwa baadhi ya watumiaji wa WhatsApp dunia