mr liverpool habibu
New Member
- Jan 3, 2017
- 2
- 1
Hahahahaaaaaa.....hatari hiiMi nikilinganisha kati ya kuwa mke na kuwa hawara naona bora ukiwa hawara mwanaume anakujali. Mwanaume akisaini cheti cha ndoa tu hapohapo anaingiliwa na pepo la zarau.
Hahahahaaaaaa.....hatari hiiMi nikilinganisha kati ya kuwa mke na kuwa hawara naona bora ukiwa hawara mwanaume anakujali. Mwanaume akisaini cheti cha ndoa tu hapohapo anaingiliwa na pepo la zarau.
Ndio maana kuoa wanawake wenye kiwango kikubwa cha elimu na kipato mnaogopaNdo aache kumfuatilia mwanaume! Kwani haachi kodi ya meza? Ebooo
..Maybe she Is cheapMaybe he's cheap!!
Hahahaaaa, wewe ni changamoto kabisa!!ha ahaha wanwake wengine eti wanasusa na kununa wapi .. si nuni na nakuomba pesa vizuri tu na listi ndefu ya haja na nakuvizia mda unapoenda huko najua utatoajibu fasta usipigiwe simu so akienda kwa mchepuko gharama kuja kwenye familia ndiyo balaa lazima akili imkae sawa.. muhimu usisuse muombe pesaaa
hiyo ndiyo dawaHahahaaaa, wewe ni changamoto kabisa!!
Kuna mmoja huyo yeye alifuma sms kwenye simu ya mumewe yaani ndo ikawa kama ndo chuma ulete anaomba hela mpaka mume nusu achanganyikiwe lakinii hana jeuri ya kukataa
Serikali haina sha.MbAKuna mbaba hapa kapiga mkewe nusu kufa kisa tu mkewe kamfatilia mumewe na kumkuta yupo na kidumu. Mkewe akaanza kumshambulia hiko kidumu cha mumewe weeee mwanaume alimtukana tukana mkewe dhalilisha piga piga vua nguo zote mwanamke baki na chupi tu na mbele za watu jamani na ni mkewe wa ndoa.
Wanawake tuna Kazi kubwa kwakweli hebu jaribuni basi. Pamoja na shida ghadhabu mateso kuzaa kwa uchungu kubeba mimba miezi 9 kulala upande upande kufua mikojo kufua mavi usiku kuamka kubadilisha mtoto madaso sijui pampas and all the carings needed for a baby.
Hapo bado kukupikia kukufulia kukuandalia nguo navitu fulani fulani vyote hivi mtu unafanyiwa lakini bado. Wanaume mnatakiwa kutubembeleza sanaaaaa kutuangalia kwa jicho la Tatu kutudekeza mnooooooooo kutujali kupita maelezo kutunyenyekea kutusujudu kutuheshimu sana tena sanaaaa mtupakate ikiwezekana mtubebeee Kila mahali na si kutufanyia ndivo sivo.
ukiachiwa mtoto mdogo hakika atakufa siku hiohio kama si kumpeleka kwa bibi yake sijui Shangazi yake mamdogo ambae nae ni mwanamke kwanini usimpeleke kwa baba yako babu yako kaka yako mjomba wako????.
Pamoja na hayo yooooote mwanaume akukosee bado umbembelezee umnyenyekee ilhali yeye ndo mwenye kosa kisa tu eti ndoa ni uvumilivu na mwanamke anatakiwa kuheshimu mwanaume!!!! Inshallah Umemzalia watoto jamani bado tu uishi roho juu na maisha ya wasiwasi.
Alaaniwe mwanaume anayethubutu kunyanyua kinywa chake kumtusi mkewe. Alaaniwe mwanaume anayethubutu kunyanyua mkono wake kumpiga mkewe na Mungu baba akarehemu wanaume wa hivyo wasiojua thamani ya mwanamke.
Sisi tungekua na roho ngumu kiasi hiko kuwaua ni dakika sifuri.
Nafikiri huyo mwanaume hajatenda sawa na hakujipa nafasi ya kufikiri mara mbili kabla ya kufanya kitendo hicho maana kama angejiuliza kwamba huyu mke nnaishi nae nyumba moja,ndugu zangu na zake wanajuana na tu mwili mmoja basi hapana shaka kabisa asingemdhalilisha mkewe kiwango hicho.Kuna mbaba hapa kapiga mkewe nusu kufa kisa tu mkewe kamfatilia mumewe na kumkuta yupo na kidumu. Mkewe akaanza kumshambulia hiko kidumu cha mumewe weeee mwanaume alimtukana tukana mkewe dhalilisha piga piga vua nguo zote mwanamke baki na chupi tu na mbele za watu jamani na ni mkewe wa ndoa.
Wanawake tuna Kazi kubwa kwakweli hebu jaribuni basi. Pamoja na shida ghadhabu mateso kuzaa kwa uchungu kubeba mimba miezi 9 kulala upande upande kufua mikojo kufua mavi usiku kuamka kubadilisha mtoto madaso sijui pampas and all the carings needed for a baby.
Hapo bado kukupikia kukufulia kukuandalia nguo navitu fulani fulani vyote hivi mtu unafanyiwa lakini bado. Wanaume mnatakiwa kutubembeleza sanaaaaa kutuangalia kwa jicho la Tatu kutudekeza mnooooooooo kutujali kupita maelezo kutunyenyekea kutusujudu kutuheshimu sana tena sanaaaa mtupakate ikiwezekana mtubebeee Kila mahali na si kutufanyia ndivo sivo.
ukiachiwa mtoto mdogo hakika atakufa siku hiohio kama si kumpeleka kwa bibi yake sijui Shangazi yake mamdogo ambae nae ni mwanamke kwanini usimpeleke kwa baba yako babu yako kaka yako mjomba wako????.
Pamoja na hayo yooooote mwanaume akukosee bado umbembelezee umnyenyekee ilhali yeye ndo mwenye kosa kisa tu eti ndoa ni uvumilivu na mwanamke anatakiwa kuheshimu mwanaume!!!! Inshallah Umemzalia watoto jamani bado tu uishi roho juu na maisha ya wasiwasi.
Alaaniwe mwanaume anayethubutu kunyanyua kinywa chake kumtusi mkewe. Alaaniwe mwanaume anayethubutu kunyanyua mkono wake kumpiga mkewe na Mungu baba akarehemu wanaume wa hivyo wasiojua thamani ya mwanamke.
Sisi tungekua na roho ngumu kiasi hiko kuwaua ni dakika sifuri.