Jamani wanaume heshimuni sana wake zenu

Jamani wanaume heshimuni sana wake zenu

weka video au picha tu access otherwise anaweza akawa mwanaume (wa kenya) kapigwa alafu unasingizia
 
Rafiki yangu alienda masomoni kwa mwaka mzima, karudi nyumbani mkewe ana mimba kuuuuuubwa. Unawezaje kuhandle issue kama hii?
 
si vema kumdhalilisha mwanamke hadharani, iwe mkeo, kidumu siuji, dadako au hata rafiki... sio sawa hata kidogo.
ila nyie wanawake hamueleweki hata kidogo......mnapenda ghasia mno..... unafikiri ukiolewa mmeo ni bidhaa yako????au mali yako......hicho ndicho kinachopelekea migogoro.....
 
>>>>>Huyo mwanamke hata kama ingekuwa ni mimi ningemfumua.... Huwezi kunifumania uanze kuniletea vurugu nikuache.... Lazima nikunyooshe ili akili ikae sawa...


Wanawake muwe mnatumia akili zenu sawa sawa..
 
Wanawake mna roho ya kijasiri sana.
Yani na vituko vyote tunavyowafanyia ni wachache wanaotia sumu kwenye chakula maana nyinyi ndiyo mnatupikia na kutufanyia mambo mengi kutuua dakika sufuri.
Walaaniwe wote ambao hawaheshimu wake zao
 
ha ahaha wanwake wengine eti wanasusa na kununa wapi .. si nuni na nakuomba pesa vizuri tu na listi ndefu ya haja na nakuvizia mda unapoenda huko najua utatoajibu fasta usipigiwe simu so akienda kwa mchepuko gharama kuja kwenye familia ndiyo balaa lazima akili imkae sawa.. muhimu usisuse muombe pesaaa
Hahahaaaa, wewe ni changamoto kabisa!!

Kuna mmoja huyo yeye alifuma sms kwenye simu ya mumewe yaani ndo ikawa kama ndo chuma ulete anaomba hela mpaka mume nusu achanganyikiwe lakinii hana jeuri ya kukataa
 
Kuna mbaba hapa kapiga mkewe nusu kufa kisa tu mkewe kamfatilia mumewe na kumkuta yupo na kidumu. Mkewe akaanza kumshambulia hiko kidumu cha mumewe weeee mwanaume alimtukana tukana mkewe dhalilisha piga piga vua nguo zote mwanamke baki na chupi tu na mbele za watu jamani na ni mkewe wa ndoa.

Wanawake tuna Kazi kubwa kwakweli hebu jaribuni basi. Pamoja na shida ghadhabu mateso kuzaa kwa uchungu kubeba mimba miezi 9 kulala upande upande kufua mikojo kufua mavi usiku kuamka kubadilisha mtoto madaso sijui pampas and all the carings needed for a baby.

Hapo bado kukupikia kukufulia kukuandalia nguo navitu fulani fulani vyote hivi mtu unafanyiwa lakini bado. Wanaume mnatakiwa kutubembeleza sanaaaaa kutuangalia kwa jicho la Tatu kutudekeza mnooooooooo kutujali kupita maelezo kutunyenyekea kutusujudu kutuheshimu sana tena sanaaaa mtupakate ikiwezekana mtubebeee Kila mahali na si kutufanyia ndivo sivo.

ukiachiwa mtoto mdogo hakika atakufa siku hiohio kama si kumpeleka kwa bibi yake sijui Shangazi yake mamdogo ambae nae ni mwanamke kwanini usimpeleke kwa baba yako babu yako kaka yako mjomba wako????.

Pamoja na hayo yooooote mwanaume akukosee bado umbembelezee umnyenyekee ilhali yeye ndo mwenye kosa kisa tu eti ndoa ni uvumilivu na mwanamke anatakiwa kuheshimu mwanaume!!!! Inshallah Umemzalia watoto jamani bado tu uishi roho juu na maisha ya wasiwasi.

Alaaniwe mwanaume anayethubutu kunyanyua kinywa chake kumtusi mkewe. Alaaniwe mwanaume anayethubutu kunyanyua mkono wake kumpiga mkewe na Mungu baba akarehemu wanaume wa hivyo wasiojua thamani ya mwanamke.
Sisi tungekua na roho ngumu kiasi hiko kuwaua ni dakika sifuri.
Serikali haina sha.MbA
 
Kuna mbaba hapa kapiga mkewe nusu kufa kisa tu mkewe kamfatilia mumewe na kumkuta yupo na kidumu. Mkewe akaanza kumshambulia hiko kidumu cha mumewe weeee mwanaume alimtukana tukana mkewe dhalilisha piga piga vua nguo zote mwanamke baki na chupi tu na mbele za watu jamani na ni mkewe wa ndoa.

Wanawake tuna Kazi kubwa kwakweli hebu jaribuni basi. Pamoja na shida ghadhabu mateso kuzaa kwa uchungu kubeba mimba miezi 9 kulala upande upande kufua mikojo kufua mavi usiku kuamka kubadilisha mtoto madaso sijui pampas and all the carings needed for a baby.

Hapo bado kukupikia kukufulia kukuandalia nguo navitu fulani fulani vyote hivi mtu unafanyiwa lakini bado. Wanaume mnatakiwa kutubembeleza sanaaaaa kutuangalia kwa jicho la Tatu kutudekeza mnooooooooo kutujali kupita maelezo kutunyenyekea kutusujudu kutuheshimu sana tena sanaaaa mtupakate ikiwezekana mtubebeee Kila mahali na si kutufanyia ndivo sivo.

ukiachiwa mtoto mdogo hakika atakufa siku hiohio kama si kumpeleka kwa bibi yake sijui Shangazi yake mamdogo ambae nae ni mwanamke kwanini usimpeleke kwa baba yako babu yako kaka yako mjomba wako????.

Pamoja na hayo yooooote mwanaume akukosee bado umbembelezee umnyenyekee ilhali yeye ndo mwenye kosa kisa tu eti ndoa ni uvumilivu na mwanamke anatakiwa kuheshimu mwanaume!!!! Inshallah Umemzalia watoto jamani bado tu uishi roho juu na maisha ya wasiwasi.

Alaaniwe mwanaume anayethubutu kunyanyua kinywa chake kumtusi mkewe. Alaaniwe mwanaume anayethubutu kunyanyua mkono wake kumpiga mkewe na Mungu baba akarehemu wanaume wa hivyo wasiojua thamani ya mwanamke.
Sisi tungekua na roho ngumu kiasi hiko kuwaua ni dakika sifuri.
Nafikiri huyo mwanaume hajatenda sawa na hakujipa nafasi ya kufikiri mara mbili kabla ya kufanya kitendo hicho maana kama angejiuliza kwamba huyu mke nnaishi nae nyumba moja,ndugu zangu na zake wanajuana na tu mwili mmoja basi hapana shaka kabisa asingemdhalilisha mkewe kiwango hicho.
Binafsi nachukizwa na kushangazwa na wanaume wa aina hiyo,namuombea kwa Mungu huyo mama apate nguvu na uwezo wa kujua nini sahihi cha kufanya baada ya hayo yote yalotokea.
 
Back
Top Bottom