Jamani wanaume heshimuni sana wake zenu

Kazi yangu mimi ni ulinzi...kuna mwanaume mwingine kazi yake ni rubani...mwingine ni mbeba zege etc etc...hivi unadhani risk ya hizi kazi ni mchezo? Mtu anakaa angani kwa ajili ya familia yake au anakesha kulinda mali against wahalifu unadhani ni mzaa? Alafu unatuambia kuwa tusiwapige sababu wanatufulia nguo!!!
Wewe ulipaswa kusema kitendo kilichofanywa ni cha kinyama, hapaswi kufanyiwa binadamu yeyote.....sio kwasababu mnatufulia nguo

What if wote na mke ni mfanyakaz na anachangia vilevile kwenye familia!!! Kazi isiwe kigezo eeeee!
 
Masikini hadi huruma,halafu hapo bado atang'ang'ania ndoa tu. Inawezekana ndio sababu jamaa amdhalilisha hivyo.
 
Nyie wanawake mnaochukua waume wa wenzenu alafu mnaleta tambo za kibabe walahi Mola awaone na awatilie washawasha kwenye nyapu zenu mara tu mnapokutana na waume za wenzenu!

Nanyie wanaume mnaochepuka tulieni kwenye ndoa zenu
 
kufua mikojo kufua mavi usiku kuamka kubadilisha mtoto madaso sijui pampas and all the carings needed for a baby.

Hivi vitu huwa twasaidiana, hafanyi mwenyewe


Kuna mbaba hapa kapiga mkewe nusu kufa kisa tu mkewe kamfatilia mumewe na kumkuta yupo na kidumu. Mkewe akaanza kumshambulia hiko kidumu cha mumewe weeee mwanaume alimtukana tukana mkewe dhalilisha piga piga vua nguo zote mwanamke baki na chupi tu na mbele za watu jamani na ni mkewe wa ndoa.
Wanawake tuna Kazi kubwa kwakweli hebu jaribuni basi. Pamoja na shida ghadhabu mateso kuzaa kwa uchungu kubeba mimba miezi 9 kulala upande upande kufua mikojo kufua mavi usiku kuamka kubadilisha mtoto madaso sijui pampas and all the carings needed for a baby. Hapo bado kukupikia kukufulia kukuandalia nguo navitu fulani fulani vyote hivi mtu unafanyiwa lakini bado. Wanaume mnatakiwa kutubembeleza sanaaaaa kutuangalia kwa jicho la Tatu kutudekeza mnooooooooo kutujali kupita maelezo kutunyenyekea kutusujudu kutuheshimu sana tena sanaaaa mtupakate ikiwezekana mtubebeee Kila mahali na si kutufanyia ndivo sivo. ukiachiwa mtoto mdogo hakika atakufa siku hiohio kama si kumpeleka kwa bibi yake sijui Shangazi yake mamdogo ambae nae ni mwanamke kwanini usimpeleke kwa baba yako babu yako kaka yako mjomba wako????. Pamoja na hayo yooooote mwanaume akukosee bado umbembelezee umnyenyekee ilhali yeye ndo mwenye kosa kisa tu eti ndoa ni uvumilivu na mwanamke anatakiwa kuheshimu mwanaume!!!! Inshallah Umemzalia watoto jamani bado tu uishi roho juu na maisha ya wasiwasi.
Alaaniwe mwanaume anaethubutu kunyanyua kinywa chake kumtusi mkewe. Alaaniwe mwanaume anaethubutu kunyanyua mkono wake kumpiga mkewe na mungu baba akarehemu wanaume wa hivo wasiojua thamani ya mwanamke.
Sisi tungekua naroho ngumu kiasi hiko kuwaua ni dakika sifuri.
 
What if wote na mke ni mfanyakaz na anachangia vilevile kwenye familia!!! Kazi isiwe kigezo eeeee!
Namimi ndo point yangu...wewe umeelezea kuwa tusiwapige sababu mnafanya kazi ngumu...namimi nikakwambia kuwa hata sisi tunafanya kazi ngumu tena za hatari zaidi....
So....kupigwa au kutokupigwa kusiwe based on kazi za mama anazozifanya...au ukisema mwanamke asipigwe sababu amekuzalia watoto, basi kwa upande mwingine unahalalisha kipigo kwa mwanamke TASA- asiye na uwezo wa kuzaa...
In short...mwanamke asipigwe sababu yeye ni binadamu kama binaadamu mwingine....
 
Pamoja shosti. Dawa ni kuwanyima papuchi tu hakuna namna. Jikoni na yeye aingie ajipikie na kidumu chake. Mfyuuu!!
 
Kosa kubwa ambalo wengi wenu mnalo mnadhan mkishakua na watoto ndio kiunganishi pekee,,kama hujui mungu ndio anatukuza na kutupa pumzi wala si kwa ajili ya watto. Mtto anamaisha yake,nawe unamaisha yako na mkeo anamaisha yake. Mwanamke mnalalamika kuzaa sasa mlitaka nan azae?
Unajifungua kwa uchungu mnalalamika sasa mlitaka iweje? Mungu anakupa kuingana na uilivyo na uzur biblia inasema kua jinsi utazamapo MTU sio jinsi alivyo yeye Bali we we ulivyo, busara angetumia kumsubiri mumewe akiwa na ushahid wte. Km kampiga kidumu kidumu kikafa unadhan mumewe ndio atahukumiwa kwa kuua? Njia pekee ya kumtuliza mumeo ni wewe kumwamin hata km unajua yte anayofanya endelea kumwamin mwisho atabadilika. Lakin eti kisa uchungu was kuzaa gggggvvvvjjnnkkkkkkkk sio sababu hyo. Eti unamfulia sio sababu hyo, kumbuka tunaona vitu sio kama vilivyo Bali sisi tulivyo.
 
hahahahahahah yaani weee mchaga nikiona comment yako lazima niisome fasta maana najua hata kama nilikuwa sina hamu ya kucheka lazima nitacheka tuuu (bold + colour) hahahahahahahahahahaha
ha ahaha wanwake wengine eti wanasusa na kununa wapi .. si nuni na nakuomba pesa vizuri tu na listi ndefu ya haja na nakuvizia mda unapoenda huko najua utatoajibu fasta usipigiwe simu so akienda kwa mchepuko gharama kuja kwenye familia ndiyo balaa lazima akili imkae sawa.. muhimu usisuse muombe pesaaa
 
ha ahaha wanwake wengine eti wanasusa na kununa wapi .. si nuni na nakuomba pesa vizuri tu na listi ndefu ya haja na nakuvizia mda unapoenda huko najua utatoajibu fasta usipigiwe simu so akienda kwa mchepuko gharama kuja kwenye familia ndiyo balaa lazima akili imkae sawa.. muhimu usisuse muombe pesaaa

hahahahahahah (bold)
 
Back
Top Bottom