Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Mwenzeni nakufa uwiii....
Linaumajeumaje?
Unaharisha?
Jibu kiufasa nikusaidie .
pole Ruhazwe JR, tumbo lingine yawezekana kuwa ngiri! nenda kwa hossy! pole in advance.Mwenzeni nakufa uwiii....
...sasa unamtibia nini..wakati hajasema anaumwa nini..?doc shem....mi nakuwa nesi wako....tumtibie mgonjwa huyu....
...sasa unamtibia nini..wakati hajasema anaumwa nini..?
doc shem....mi nakuwa nesi wako....tumtibie mgonjwa huyu....
...la kuhara au la kukata...?...usikute kuna ...ki...?si tumbo....au...!!
Mwenzeni nakufa uwiii....
Madame B yupo kwangu tupo kwenye process za kumrudisha kwa kaka.....ila kwanza tunafanya mila zetu ...namtoa mkosi
Mwenzeni nakufa uwiii....
Linaumajeumaje?
Unaharisha?
Jibu kiufasa nikusaidie .
Dr. Judgement, mwambie tiba mwenzio!
Huyu haumwi!
Deko at works , huyu kuna kitu anakisarandia, au anatafuta huruma flani hivi.
Baadae utaona tu.
Huyu haumwi!
Deko at works , huyu kuna kitu anakisarandia, au anatafuta huruma flani hivi.
Baadae utaona tu.