kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 830
- 781
hao 123777 wote ni jkt au
Mhhhh!!!,Sasa km Serikali inakwepa gharama inawaangushia zigo vijana,hivi hapo si ni kuzidi kutiana Umasikini Kweli?!!!. Aiseee life is not fair.Wamefanya hivyo ili kupunguza gharama kwao na urasimu hivyo wameona mzigo wa gharama zao zihamie kwenu
Ushauri TU
Usaili unaohusu watu wengi ungeanza kwenye kanda zao halafu wale wanapatikana wangeenda dodoma kwa usail wa awamu inayofuata
Watu wa dsm pwan morogoro ....wafanyie dsm
Watu wa Ruvuma iringa na Mbeya ..wafanyie mbeya
Watu wa mtwara Lindi..wafanyie mtwara
Watu wa geita simiyu mwanza kagera Mara na shinyanga ..wafanyie mwanza
Watu wa Tabora rukwa kigoma .. wafanyie kigoma
Watu wa Arusha manyara Moshi tanga...wafanyie Arusha
Watu wa dodoma singida ..wafanyie singida
Halafu dodoma ibaki sehemu ya mwisho kwenda kumalizia usail wa mwisho
Fafanua mkuuMbona wameshafanya. Pre vetting zimeshatembea so far.
Lakin lazima watoe nafasi kwa umma wote.
Vijana wapambane tu wasiache kulialia.
Nafasi nyingi zimeishajazwa na watoto wa vigogoWakuu mmeshasikia usaili utakaofanyika 8/1/2022. Usaili huu utajaza jiji la Dodoma umati wa watu 12,377 hao ni wa nafasi ya afisa uchunguzi tu.
Kuna nafasi ya afisa uchunguzi wasaidizi wameitwa watu 9,729 kwa nafasi ya watu 150 tu.
Jumla ya wasailiwa inakuwa 22,106 kwa ajili ya jumla ya nafasi 350 tu. What a waste of time and money. Kumbuka vijana hawa wengi wao wa naomba pesa ya nauli, chakula na kulala Dodoma. Hawakuwa na njia nyingine ya kuwachuja ili ipatikane cream ya watu angalau 3,000?