Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 664
- 334
Watu hawahofii kufa, Biashara ya short time naona imekuwa utaratibu wa kawaida manake jana katika kutafuta Mahala pa kulala nimeshuhudia mengi. Watu wametoka ofisi moja wanapitiliza guest then wanamalizana na kila mtu anarejea kwake kwa utetezi wa msongamano/foleni!
Jamani watu wanachakachua ndoa mpaka basi
Jamani watu wanachakachua ndoa mpaka basi