Jamani 'short time' hotels za Sinza imezidi!

"Special events"! Sasa kama 'wengine' wanfanyia Kilimanjoro hotel, unataka hawa wengine wakafanyie wapi? On a serious note, nadhani kuwepo kwa sehemu hizo bado kuna umuhimu wake ili angalau watu wajihifadhi kistaarabu zaidi kuliko kwenda kufanyia makaburini nk.
 
Sinza hapaeleweki ni kama sigara kali.maisha watu wanayoishi mchana ni tofauti na maisha ya wanayoishi usiku.usiku watu wengi kuliko mchana.ikifika jioni tu dar yote inahamia sinza sababu ndo sehemu yenye guest house bubu nyingi zenye kiwango cha juu.mchana adilimia kubwa ya madada wa pande zile wamelala.mia
 
<br />
<br />
ila pazuri ila na we noma mh umepajua pale
Mimi nilitaka kulala tu si unajua ugeni!! sasa wakaniambia chumba kimebakia kimoja, kwenda kukicheki nikabaini kimetumika ! nikawambia kama hakuna kingine wanisamehe, mara wakasema hebu subiri kuna mtu alifanya booking hapa, mara naona watu wanatoka halafu kila mmoja akatokea geti lake, then baadaye kama panya vile wanavyotoka shimoni, watu wanachomoka tu mara vyumba vyote kuna nafasi, baadaye kidogo zimejaaa
 
Watu hawahofii kufa, Biashara ya short time naona imekuwa utaratibu wa kawaida manake jana katika kutafuta Mahala pa kulala nimeshuhudia mengi. Watu wametoka ofisi moja wanapitiliza guest then wanamalizana na kila mtu anarejea kwake kwa utetezi wa msongamano/foleni!

Jamani watu wanachakachua ndoa mpaka basi

Umejuaje kama na wewe siyo mshiriki?
 
Double View pazuri bana - Dah! Mtu asikwambie kitu!

Enzi zetu sisi tulikuwa ni
- Lapaloma
- Joli
- Mori
- Lion
- Vatican

Siku hizi guest ni rahisi kuipata kuliko hata maji ya kunywa!
 
Namnani iko full. Niko receoption hapa wananinyima chumba
...Hii hoteli kwa jinsi ilivyojengwa mwaka juzi kuna jamaa alipeleka mzigo hapo akijua ameingia chaka la uhakika baada ya kutafuna mzigo wake anataka kuondoka anakutana na wife wake nae anaingia na jamaa kwenye harrier full tinted...Picha lake lilikuwa pana!!..
 
weeh kijana unatafuta balaa. unakula ugali wa shkamoo afu unataka kumuintelijensia mshua? usimnyang'anye mama yako majukumu tafadhali,ukitimuliwa kiotani sijui utasemaje!
Hapa home mshua kila leo anarudi usiku balaa....ngoja ni-intelegensia kwanza!!
 
ha ha ha short time zina umuhimu wake hila guest nyingi cku hz zinadai full malipo aka ya siku nzima
 
Kuna moja iko nyuma hapa ya HONGERA inaitwa mogate lodge muda huu parking imejaa wanapokea watu wa bajaji na pikipiki tu!!kila anayejiita mwenye heshima na asiye wamo!
 
Watu hawahofii kufa, Biashara ya short time naona imekuwa utaratibu wa kawaida manake jana katika kutafuta Mahala pa kulala nimeshuhudia mengi. Watu wametoka ofisi moja wanapitiliza guest then wanamalizana na kila mtu anarejea kwake kwa utetezi wa msongamano/foleni! <br />
<br />
Jamani watu wanachakachua ndoa mpaka basi
<br />
<br /
haya mambo ni magumu sana_ipo moja mitaa ya Big Born kwa nyuma nyuma inaitwa PR, hapo Mzee wa Upako Lusekelo hakosekan_huwez amin , tumwachie M/mungu atuhurumie tu .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom