Jamani nyie wadada condom zinawafanyaje?

Jamani nyie wadada condom zinawafanyaje?

Kumezuka wimbi la wadada kutopenda vidume wao wavae condom huku tabia ya watu kuwa na michepuko ikiota mizizi..!

Naongea kwa uzoefu nina matukio km matatu hivi napambana na upinzani wa akina dada wakipinga kufanya ngono na condom sababu zikiwa ni kupunguza utamu wakidai ikiwa kwenye kasha hainogi, mara condom zina waletea fungus, wengine wakienda mbali na kudai hazisaidii chochote km ukimwi utapata tu kwa bahati mbaya.

Sasa nyie wadada hamjui kuwa UKIMWI na magonjwa ya zinaa yapo??? Pia vipi mimba zisizo tarajiwa..???

Ebu tuwekane sawa..! maana wengine wanadai kijoto cha sperm kina raha yake ebu tuambizane ukweli hapa....!

Hiyo ya sperm ni kweli kabisa..mwanamke tendo ndoa kwa asilimia 33 zaidi pale mwanaume anapo mkojolea kwenye papuchi kulioko asipo kojolewa.
 
Asikufanganye mtu bhana KAVUKAVU ni tamu sana.
Vitamu ndivyo hatariii...! Mara nyingi ajali ni kwenye tambalale au mteremko vaaeni elment wajameni hizi bodaboda(mchepuko) mnaona ni usafiri wa faster ila una hatarii..
 
HA HA HA NDIYO UWANAUME HUO
Uliza kilichonipata jana 50 haijarudi nimemtusua mtu goli 3 bila mpira kwenda kati, ndani saa 3 kala 8 ila sasa hapa misuli ya tumbo inauma nimeamka saa 6, niko pembeni mwa sufuria la supu kugain momentum..!
 
Hiyo ya sperm ni kweli kabisa..mwanamke tendo ndoa kwa asilimia 33 zaidi pale mwanaume anapo mkojolea kwenye papuchi kulioko asipo kojolewa.
Sasa jifanye mnawarisha muone hatari yake! Vaa elment jamani.
 
POLENI WOTE ASEE MI UKIPIGA ZOTE HIZO NAWEZA UGUA MWEZ MZIMA COZ 1 OR 2 KWA MIEZ ISIYOPUNGUA 5 OR 6 HATA 8
Naujanja wote humu jf uko shallow hivyoo..! Mwili nyumba nikajua unaweza kuzicheza zile mipira za angle..!
 
Back
Top Bottom