Jamani nyie wadada condom zinawafanyaje?

Jamani nyie wadada condom zinawafanyaje?

Kumezuka wimbi la wadada kutopenda vidume wao wavae condom huku tabia ya watu kuwa na michepuko ikiota mizizi..!

Naongea kwa uzoefu nina matukio km matatu hivi napambana na upinzani wa akina dada wakipinga kufanya ngono na condom sababu zikiwa ni kupunguza utamu wakidai ikiwa kwenye kasha hainogi, mara condom zina waletea fungus, wengine wakienda mbali na kudai hazisaidii chochote km ukimwi utapata tu kwa bahati mbaya.

Sasa nyie wadada hamjui kuwa UKIMWI na magonjwa ya zinaa yapo??? Pia vipi mimba zisizo tarajiwa..???

Ebu tuwekane sawa..! maana wengine wanadai kijoto cha sperm kina raha yake ebu tuambizane ukweli hapa....!


UKIJUA KUNA UKIMWI USITEMBEE NJE YA NDOA YAKO AMA LA KUWA NA MPENZI MMOJA MNAE AMINIANA BAADA YA KUPIMA NA KIJIDHIHIRISHA MKO SALAMA. ACHA KUCHEPUKA MCHEPUKO SIO DILI 🙂🙂🙂🙂

CONDOMS YALE MAFUTAFUTA(LUBRICANTS) YA MPIRA NI KWELI WENGI YANAWALETEA FUNGUS SASA WEWE UPATE RAHA MWENZIO APATE KARAHA BAADA YA TENDO LENU.

SUALA LA MIMBA FATA KALENDA YA MKEO AU MPENZIO UKIONA HUWEZI BASI MWAGA NJE UTAZUIA MIMBA ZISIZO TARAJIWA.
 
UKIJUA KUNA UKIMWI USITEMBEE NJE YA NDOA YAKO AMA LA KUWA NA MPENZI MMOJA MNAE AMINIANA BAADA YA KUPIMA NA KIJIDHIHIRISHA MKO SALAMA. ACHA KUCHEPUKA MCHEPUKO SIO DILI 🙂🙂🙂🙂

CONDOMS YALE MAFUTAFUTA(LUBRICANTS) YA MPIRA NI KWELI WENGI YANAWALETEA FUNGUS SASA WEWE UPATE RAHA MWENZIO APATE KARAHA BAADA YA TENDO LENU.

SUALA LA MIMBA FATA KALENDA YA MKEO AU MPENZIO UKIONA HUWEZI BASI MWAGA NJE UTAZUIA MIMBA ZISIZO TARAJIWA.
We mdada acha hizo kuchepuka mwanaume kwenue ndoa ni sunaa..!
 
Ndiyo maana tuna gongeana kengele ya tahadhari...!
 
Tangia inipasukie nikiwa natafuta goli la 3 nisawazishe situmiagi tena hyo miplastiki nikuomba Mungu tu aniepushe na magonjwa " ngozi2ngozi mbelekwambele
 
yule jamaa ni mchoyo na kinanilii chake ha ha ha ha
Nimeipenda sana ile; tumechoka kuombwa hela ili tupewe tukisha toa pesa afu tunaambulia adhabu ukimkuta mtu mijasho kibao mpaka hurumaa..!
 
Tangia inipasukie nikiwa natafuta goli la 3 nisawazishe situmiagi tena hyo miplastiki nikuomba Mungu tu aniepushe na magonjwa " ngozi2ngozi mbelekwambele
Mkuu vaeni helment kwenye ajali inasaidia mkuu..
 
Back
Top Bottom