KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
.
Jamani acha utani tutakufa km kuku wenye kideli tuweni makini...! Sometime kuchepuka ni inevitable...!Hivi wewe condom ya shilingi 100, unaiyamini kua itakulindia maisha yako? mmmmmmmh kwanza na condom havinogi mtaishia kuhubuana achana na michepuko.
Mmhh..!!Hao wanawake watatu waliokuletea upinzani ulivaa.....kama hukuvaa sema tuanze kuimba parapanda mapema
Hao wanawake watatu waliokuletea upinzani ulivaa.....kama hukuvaa sema tuanze kuimba parapanda mapema
Unarudi tena kupima mkuu😕😕haya icho unachokitafuta utakipata tu😕Kwani wanawake wote wana UKIMWI mpaka useme hivyo? Mi mwenyewe nilikuwa naogopa kupima maana nimekuwa nikifanya mapenzi na wanawake tofauti bila kondomu, kibaya zaidi wengine ni mabarmedi. Baada ya tendo huwa na hofu kwamba hapa tayar nimeunasa lakini cha kushukuriwa wiki ilopita nimepima nimekuta sina, sasa hiv nimesubiri ipite miezi 3 nirudi tena kupima. Ila kusema kama nimenusurika kwa hao wanawake nimedhamiria kuachana na ngono zembe. Mwaka huu naoa kabisa.
Kuoa si sabb kaka,unawexa letewa huko huko hmeKwani wanawake wote wana UKIMWI mpaka useme hivyo? Mi mwenyewe nilikuwa naogopa kupima maana nimekuwa nikifanya mapenzi na wanawake tofauti bila kondomu, kibaya zaidi wengine ni mabarmedi. Baada ya tendo huwa na hofu kwamba hapa tayar nimeunasa lakini cha kushukuriwa wiki ilopita nimepima nimekuta sina, sasa hiv nimesubiri ipite miezi 3 nirudi tena kupima. Ila kusema kama nimenusurika kwa hao wanawake nimedhamiria kuachana na ngono zembe. Mwaka huu naoa kabisa.
Unarudi tena kupima mkuu😕😕haya icho unachokitafuta utakipata tu😕
jibu swali mkuu ili tujue kama tuandae sanda au la!Mmhh..!!
mkuu hata mimi nilitaka kurudi kuangalia upya ila hili neno lako limeniweka njia pandaUnarudi tena kupima mkuu😕😕haya icho unachokitafuta utakipata tu😕
Siwezi kufanya ngono zembe na mwanamke ambaye hatujapima hata kama ni one night standKwani wanawake wote wana UKIMWI mpaka useme hivyo? Mi mwenyewe nilikuwa naogopa kupima maana nimekuwa nikifanya mapenzi na wanawake tofauti bila kondomu, kibaya zaidi wengine ni mabarmedi. Baada ya tendo huwa na hofu kwamba hapa tayar nimeunasa lakini cha kushukuriwa wiki ilopita nimepima nimekuta sina, sasa hiv nimesubiri ipite miezi 3 nirudi tena kupima. Ila kusema kama nimenusurika kwa hao wanawake nimedhamiria kuachana na ngono zembe. Mwaka huu naoa kabisa.
Hahah..nenda tu mkuu,si haujaridhika na majibu???mkuu hata mimi nilitaka kurudi kuangalia upya ila hili neno lako limeniweka njia panda
Mkuu,yani umetoswa mto ruaha akapiga mbizi mpaka ukafanikiwa kujiokoa mamba wasikutafune then unaamua kurudi tena uogelee..Teh teh! Kwa hiyo unanishauri niishie hapo. Na kilichonifanya nipime last week ni baada kuumwa tumbo, homa kali na kuendesha sana ndo nikapats confidence ya kupima huo UKIMWI, kumbe ni typhoid na ameoba tu vilikuwa vikisumbua. UKIMWI nikakuta negative nifurahi sana aisee nusura niruke ruke mle maabara maana sikutegemea hilo jibu.