Siwezi kufanya ngono zembe na mwanamke ambaye hatujapima hata kama ni one night stand
mmmhh!!Hahah..nenda tu mkuu,si haujaridhika na majibu???
Wewe tuite wazinzi.. !kazi kweli kweli wazinzi buana
Siku ukiiukanyanga utajua kuwa na wewe ulikuwa mwenyewe..Aah sijui bhana..ngoja waje wenyew
Bora ujue ipo harufu mbaya make usikie anao mtu usiwe wewe...!Kama kuna kaharufu ka ukweli vile ...
Hakun single mother anaye jiprooud wanajitia moyo ila wengi wanajuta sana!Ndio maana single mothers chini ya miaka 24 wamekuwa wengi sikuhizi.. Alafu wenyewe wanakuwa proud kweli kumbe ni upuuzi
Jamani mwache ubishe kuchepuka ni suna kwenye ndoa vaaeni condom jamani tunakumbushana fikiria watoto au binti/mwanaume unapatwa na ukimwi b4 ujaolewa inaumwahata nyie wanaume mupo ambao hamtaki tumia condom na michepuko mnayo, kama ni njia kuu mnaaminiana condom ya nn
Natafute faragha nikwambie ..Walipo kugomea kutumia kondom uliwasikiza au ulikataa??
Khaaaaa faragha tena??? Waogopa??? Jibu hapa wengine wajue km ww ni dhaifu ukiwa chumbani,Natafute faragha nikwambie ..
Jamani hadharani tena kuna watoto siku hizi wanakujag jf watasikia..Khaaaaa faragha tena??? Waogopa??? Jibu hapa wengine wajue km ww ni dhaifu ukiwa chumbani,
Kweli..???inatunyima ladha ya nyama
ndiyo .Kweli..???